Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣
2367275_images202.jpg
2367273_images204.jpg
20200605_114001.jpg
2367274_images203.jpg
 
Miaka miwili nilisema tena tutakuwa tunakimbiza Africa...mimi sioni mpinzani Ukanda huu.
Ni makosa tu yaliyofanywa na viongozi wetu huko nyumba ndio maana Kenya ikawa kinara wa uchumi katika ukandaa huu wa afrika mashartiki kwa miaka kadhaa iliyopita. Kama viongozi wetu wataendelea kuwa serious na kuwa na maono makubwa kwa nchi yetu naamini kwa rasilimali tulizonazo hakuna nchi yoyote katika ukanda huu wa afrika mashariki inaweza kutuzidi kiuchumi. Tuna rasilimali nyingi mno tatizo ni usimamizi wa hizi rasilimali ili zilete tija kwa taifa letu.
 
Ni makosa tu yaliyofanywa na viongozi wetu huko nyumba ndio maana Kenya ikawa kinara wa uchumi katika ukandaa huu wa afrika mashartiki kwa miaka kadhaa iliyopita. Kama viongozi wetu wataendelea kuwa serious na kuwa na maono makubwa kwa nchi yetu naamini kwa rasilimali tulizonazo hakuna nchi yoyote katika ukanda huu wa afrika mashariki inaweza kutuzidi kiuchumi. Tuna rasilimali nyingi mno tatizo ni usimamizi wa hizi rasilimali ili zilete tija kwa taifa letu.
Ila awamu ya nne ndio iliyotuangusha sana,huko kwingine naweza sema walikuwa wana weka mfumo imara.ila tunaye Jemedari yeye anfanya y awamu zote kwenye Awamu moja tuu..blessed JPM.
 
PDU Delivery (@PDUDelivery) Tweeted:
Facts & Figures: The Galana - Kulalu Irrigation Project is a 10,000 acre farm project whose project progress is now at 85% #GalanaModelFarm #GoKDelivers ^LC https://t.co/l59DfYDPXF ()
 
PDU Delivery (@PDUDelivery) Tweeted:
Facts & Figures: The Galana - Kulalu Irrigation Project is a 10,000 acre farm project whose project progress is now at 85% #GalanaModelFarm #GoKDelivers ^LC https://t.co/l59DfYDPXF ()
 
PDU Delivery (@PDUDelivery) Tweeted:
Works at Wote stadium in Makueni county have resumed with the contractor back on site. Senior National Government officials who inspected the project’s progress urged the contractor to expedite work at the 20,000-people maximum capacity stadium to have it ready by December 2020. https://t.co/hIheq32uM4 ()
 
Back
Top Bottom