[ATTACH=full]1497706[/ATTACH] https://twitter.com/tboundbuses/status/1279416713503748096?s=21View attachment 1497707
View attachment 1497708
Ice cream with History, since 1961.
View attachment 1497565
View attachment 1497566
View attachment 1497567
View attachment 1497568
Planning in Kunyaland vs real construction in Tanzania!Hizo ni vitu tmezoea Kenya na bado tnaongeza
View attachment 1497483
Planning in Kunyaland vs real construction in Tanzania!
Filter mpk inaunguza macho
Sawa moto hauzimikiWe are the king of east and central Africa,hahah
Hakuwa na namna cz huwa anajifanya msomi wa juu zaidi ss tukawa tunamwambia una usomi gn wkt avatar yako tu inaonesha uko outdated so aka changehuyu ndo mlisema kaweka raman inaonyesha Tanzania ni Lower Income Country?!!naona kachange!
View attachment 1497663



Am in love with this building


Wacha wahare kwa mdomo, nchi inasonga mbele,JPM hayuko kumfaraisha mtu yoyote zaidi ya MTz.Alafu mtu anakuja eti oohh wakati wa Mkapa na Jk per capita ilikuwa inaongezeka kwa rate kubwa kuliko huyu, wehu kweli hawa hzo per capita cc zilitusaidia nn zaidi ya kushuhudia ufisadi uliotapakaa, naomba waelewe kwamba cc hatutaki hzo cjui per capita cjui utumbo gn wabaki nao wenyewe but cc tunataka kuona tunajenga reli cc wenyewe, umeme haukatiki katiki, tunajenga flyovers kila pembe, tunanunua ndege za kutosha, tunajenga hospitali kila kona ya nchi, tunajenga masoko na stand za kisasa, tunajenga mabwawa ya umeme kwa kadri tunavyoweza, tunajenga barabara za kiwango cha juu na co zile barabara whitezao, hayo mambo cjui per capita income cjui mautumbo gn wabaki nayo wenyewe.