IT-alien
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 286
- 2,048
Wewe unajichosha bure kupigania Kenya subiri uchaguzi 2022 mmwagane damu tu
Za kina Dr Hassan AbasiAmeiga suit ya Tanzania
Mostly used by government officials
Safari Suit




Karibu sana Mkuu tunasubiri vionjo vyako, ila kwa ss hawa Makolo wameanza kupoteza hamu na battleWakuu Nimerudi Rasmi JF baada ya Kutimkia Twitter,
Watani Mkae Mkao Wa Kula Gallery Imejaa Picha So Vitu Vingi Khusu Dar Hawajui Na Mbaya Zaid Watanzania Hatuna Time Ya Kupiga Pic
*Stay Tune*



.Mombasa road
View attachment 1496830
Hapa huwa pana view nzr sn mkuu.Take a Look View attachment 1496825
HakikaHapa huwa pana view nzr sn mkuu.
Ss mbn Wakenya wa humu huwa wanapenda kujifariji kwamba station yao ni nzr kuliko hii ya Dar, kumbe wanaitamani snKOT Washaanza kulialia huko online baada ya kuona Dodoma bus stand, sasa wageukia electrical SGR Tanzania! Wivu na roho ya kwanini, kiliba na vijembe vya kujifariji mwendo mmoja!


Wacha uongo border ya Mozambique na Tanzania haijawahi kubadilika leta proof ya unachoongea!Tena ilikuwa na eneo kubwa sana maana Rwanda na Burundi plus sehemu ya nothern Mozambique ilikuwa sehemu ya Deutsch OstAfrika (German East Africa) kabla ya uingereza kuimeiga na kuwagawia Wabeligiji (belgium) Rwanda na Burundi, Wareno kupewa sehemu ya kusini ya mto ruvuma (todays' nothern Mozambique)baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia ambapo ujerumani ilishindwa na kunyang'anywa makoloni yake yote.
Kujishaua!Ss mbn Wakenya wa humu huwa wanapenda kujifariji kwamba station yao ni nzr kuliko hii ya Dar, kumbe wanaitamani sn![]()