Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
Yeahhii kumbe ni kampuni ya GoT?
WB: Tanzania is officially going to be a middle income country 🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
WB: Tanzania is officially going to be a middle income country 🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
WB: Tanzania is officially going to be a middle income country 🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hahaha,kaka mbona una hasira na JPM?! Inaonekana wewe ndio mmoja alowapiga dole alafu akakupa unuse,ndio maana uko frustrated naye,pole ndugu,hii dunia nikuvumilia tu hakuna namna.sitaki hadithi nataka utekelezaji,Magu ana jipya gani ambalo wengine hawakufanya? hizo pambio muimbage huko chumbani kwenu
Hii ni habari nzuri na kubwa sana. Hongera uongozi wa nchi yetu chini ya Jemedari mkuu Dr. John Magufuli na wananchi wote wa taifa letu.WB: Tanzania is officially going to be a middle income country
WB: Tanzania is officially going to be a middle income country
, Soon LDC tupa kule. Tunabaki na Jee dee Pee
.Tunazika kingine tena soon, zile ohhh Mombasa ina millione kuliko Tanzania yote tupa kule, Soon LDC tupa kule. Tunabaki na Jee dee Pee
.


The real middle income country sio ile midofinga kantri.WB: Tanzania is officially going to be a middle income country
Tunasubiri kuona Trains zetu za umeme zikiwa Parked hapo View attachment 1489520
Watu waishio kwenye Apartments zilizopo adjacent na hii viaduct wana views tofauti mno🤩🤩What a view ?!
Watu waishio kwenye Apartments zilizopo adjacent na hii viaduct wana views tofauti mno![]()

Watu waishio kwenye Apartments zilizopo adjacent na hii viaduct wana views tofauti mno![]()




