Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duh kweli kila mtu na mtue, yn unathubutu kumlinganisha Magu na Kikwete kwenye sekta ya miundombinu, umesahau kwamba hizo km alizojenga Kikwete nyingi humo ni maono ya Magu, soma kitabu cha Mkapa utaelewa namaanisha nn, btw hebu tuwekee uthibitisho hapa kuhusu hzo unazosema zaidi ya km 8500 za Kikwete mana usiongee tu km tupo kwenye kibanda cha kahawa.
sitaki hadithi nataka utekelezaji,Magu ana jipya gani ambalo wengine hawakufanya? hizo pambio muimbage huko chumbani kwenu
 
Hii ndio Nairobi
KhaView attachment 1489193
Screenshot_20200626-105026.jpg
 
Back
Top Bottom