Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahahahah umekasirika tayar, kwn nyie mna mjua Mungu nyie? Si mlikuwa mnatucheka wakati ule wa covid-19 tulipoanza kumtanguliza Mungu mbele mkawa mnatukashifu au co nyie? Leo mnajifanya mnamjua Mungu kuliko sisi tunaomwamini
Unamwamini usie mjua., wewe ni mdini tu. Hakuna cha Mungu hapa.
 
Kama exterior Ndio kali hivi, Interiors zitakuwa killer 💥💥 hapo BRT yetu kipita na mbele........Eneo hilo tayari litakuwa limepata facelift
Sure mkuu mimi pia nasubiri kwa hamu upgrade ya junction ya (Kamata-Goldstar-Karikoo BRT Main terminal),juu kuna daraja la SGR linacross barabara mbili,moja ile city center nyingine kutoka karikakoo na ziko karibu karibu,chini BRT phase 2 & 3 zinakutana plus MGR versus ukubwa wa eneo afu ni langoni kabisa kuingia city center.Utulivu unatakiwa.Pia najiuliza baada ya phase 2 kuisha pale kituo cha daladala stesheni matumizi yake yatakuwa ni yapi?!!!!.
 
Hii barabara sijui kwa nini serikali haijaipa uzito mkubwa kuikamilisha maana ndo kwanza inakaribia makongolos wakati ni muhimu sana kwa mkoa wa mbeya kufikia mikoa ya kaskazini na kanda ya ziwa badala ya kupitia Iringa,ni short cut na ina mlima 1 tuu ambao ndio huu kwingine kote kwenda Tabora na Singida ni tambarare
 
Nayopia inajengwa.

Zikiisha mtu anatoka Kampala anashuka hadi Nyakanaz chini kwa chini hadi mpanda hadi Mbeya huko

Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
Hii inaitwa T9 kutoka mutukula/uganda Nyakanazi-uvinza sumbawanga hadi Tunduma..itakuwa magari kutoka uganda yanaenda Zambia hadi Congo DRC kuna junction Sumbawanga inayokwenda Zambia
 
Huwa nawaambia katika sekta ya barabara Magu kachemsha maana 5yrs only 3500km manake na miaka mingine 5 ijayo hazitazii 3500km zikiwamo hizo 2000km under construction..Sijui msemaji anajisifu nini,si ajabu miaka 5 imepita bado kanda ya magharibi inastruggle kwa kutokuwa na uhakika wa usafiri
Unajua ww reasoning zako wakati mwingine zimejaa chuki na ubinafsi, hebu tuanzie hapa, unasema Magu kachemsha kwenye sekta ya barabara sasa tuambie, Kikwete ambaye huwa unamsifia humu alijenga km ngp za lami kwa miaka yake 10 na Magu amejenga km ngp za paved roads mpk ss tuanzie hapo.
 
kwan hizo 2000km under construction hela zake zipo kwa budget ya miaka ipi? si hiohio ya within his first 5yrs phase??!! mbona unatumia MATAKO kufikiria badala ya ubongo!!
acha ujinga wewe,kwani umeambiwa hizo km zitakamilika mwaka huu hadi ziwepo kwenye bajeti ya juzi? wewe unatumia mapumbu kufikiri..bajeti inatengwa kila mwaka na haijulikani zitakamilika lini..poit hapa ni kwamba serikali imejenga km chache sana za lami kwa miaka yote 5 maana kipaombele cha huyu ndugu ni sgr na nyerere dam
 
Unajua ww reasoning zako wakati mwingine zimejaa chuki na ubinafsi, hebu tuanzie hapa, unasema Magu kachemsha kwenye sekta ya barabara sasa tuambie, Kikwete ambaye huwa unamsifia humu alijenga km ngp za lami kwa miaka yake 10 na Magu amejenga km ngp za paved roads mpk ss tuanzie hapo.
wewe ndio reasoning yako iko corrupt kwa mahaba yako kwa magu,jk alijenga zaidi ya km 8500 za lami na nyingi mlizomalizia ndio zimo kwenye 3500 hizo,zenu mpya ni hizo 2000km..Magu hajafungua mkoa wowowte kwa lami kati ya aliyoacha Jk..Kazi kubwa ya Jk ni barabara na elimu
 
Mkuu unatakiwa uelewe mambo mengi Yanahitajika sio barabara tu, kuna viwanja vya ndege pamoja na ununuzi wa ndege, kuna maji, umeme, huduma za afya, ujenzi wa reli, meli, vivuko, elimu nk. Kujenga km 3500 kwa miaka 5 si jambo la kupuuza.
Kipi kianze na kipi kifuate ndio tatizo mlilonalo nyie sisisemu..Mengi mnayokazania sio vipaombele vya wananchi..sasa wewe airport ya mpanda kwa mfano ambayo zaidi ya miaka 4 tangu ikamilike hakuna ndege ndio juzi air tzn imeanza kutangaza kuanza route inamsaidia nini mtu wa karema huko ambako hakuna barabara za uhakika? nyie mashabiki wa ccm mnafeli sana kwenye vipaombele ambavyo vinatija kwa ustawi wa watu
 
wewe ndio reasoning yako iko corrupt kwa mahaba yako kwa magu,jk alijenga zaidi ya km 8500 za lami na nyingi mlizomalizia ndio zimo kwenye 3500 hizo,zenu mpya ni hizo 2000km..Magu hajafungua mkoa wowowte kwa lami kati ya aliyoacha Jk..Kazi kubwa ya Jk ni barabara na elimu
Acha kutufanya watot ni wapi alipo kamilisha barabara 8500km...acha mapenzi kuwa mkweli
 
That`s UAP. Kumbe huna akili na huna macho pia?
na hili linaitwaje😂👇👇👇
FEE8AA1B-0B39-4B6F-9590-72A71CF7C6CE.jpeg
 
wewe ndio reasoning yako iko corrupt kwa mahaba yako kwa magu,jk alijenga zaidi ya km 8500 za lami na nyingi mlizomalizia ndio zimo kwenye 3500 hizo,zenu mpya ni hizo 2000km..Magu hajafungua mkoa wowowte kwa lami kati ya aliyoacha Jk..Kazi kubwa ya Jk ni barabara na elimu
Duh kweli kila mtu na mtue, yn unathubutu kumlinganisha Magu na Kikwete kwenye sekta ya miundombinu, umesahau kwamba hizo km alizojenga Kikwete nyingi humo ni maono ya Magu, soma kitabu cha Mkapa utaelewa namaanisha nn, btw hebu tuwekee uthibitisho hapa kuhusu hzo unazosema zaidi ya km 8500 za Kikwete mana usiongee tu km tupo kwenye kibanda cha kahawa.
 
Back
Top Bottom