Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,745
Kwa wale wanaujua Kiarabu..
mchana kweupe aisee😂😂😂👇👇
Hayo mawe ya Bwana Laizer yamekuja wakati mzuri sana...Tanzanite Station View attachment 1488688
Jakaya kikwete Youth park.
View attachment 1488850
Yani ka ukumbi kama hako ulinganishe na Jakaya kikwete youth Park!?Pia Governor wa Mombasa Joho (aka Sultan) katengenezea youths wake kama hizi mitaa kadha kule pwani.,View attachment 1488899View attachment 1488900View attachment 1488902
What is special there that is not in Sultan's base(Mombasa)?., Ali Hassan Joho built several not one.., Mombasa na Dar ziko sako kwa bako.,Yani ka ukumbi kama hako ulinganishe na Jakaya kikwete youth Park!?
Usifananishe ki ukumbi kama hicho ya Jakaya Kikwet Youth Park.What is special there that is not in Sultan's base(Mombasa)?., Ali Hassan Joho built several not one.., Mombasa na Dar ziko sako kwa bako.,
zanzibar👇👇Pia Governor wa Mombasa Joho (aka Sultan) katengenezea youths wake kama hizi mitaa kadha kule pwani.,View attachment 1488899View attachment 1488900View attachment 1488902
Hii ni victory kuna saa nikimsikia Magu anaongea machozi yananitoka....ameirudisha fahari yetu.kama Mwenge Uangazapo Africa na kuonekana HAKIKA Tanzania itaongoza kiuchumi,kama Twiga aonavyo Mbali,tutaona mbali kuliko Taifa lolote Africadah nikikumbuka haya madini wakenya na india ndo walikuwa wauzaji wakubwa napata hasira sana
tukiachana na mambo ya kisiasa. kweny ishu ya haya madini uncle Magu kafanya jambo la maana sana.
Sabotage ya kuwarudisha WaTZ home,...kitunguu si hamna?
Hii ni victory kuna saa nikimsikia Magu anaongea machozi yananitoka....ameirudisha fahari yetu.kama Mwenge Uangazapo Africa na kuonekana HAKIKA Tanzania itaongoza kiuchumi,kama Twiga aonavyo Mbali,tutaona mbali kuliko Taifa lolote Africa
Mungu Ibariki Tanzania.
Hapo ni umbali wa 7.1km Kutoka Downtown, ni sawa na kutoka CBD yenyu kwenda kwenye junction ya Waiyaki Way na James Gichuru Road , sasa leta picha za maeneo hayo tulinganishe.Tanzania sidhani hata kama kuna city yoyote isipokua hii fishing village huita cityView attachment 1488769View attachment 1488770
mchana kweupe aisee




dah mpka mbavu zinaumangapi kwa maana gani 😂😂😂 umeanza kuchanganyikiwa na siku utapata uwanja kama huu nje ya nairobi nitag👇👇👇Same purpose., ni ngapi Zanzibar na Dar?.,