The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Na kuonesha kuwa Mungu yupo huwa hawaachi salama wapuuzi km hawa, unakuta nchi haiishi mabalaa, huku locust kule cholera mara covid-19 haiishi, yote hyo ni kwasabu ya laana ya kuwadhulumu wanyonge, majority wanaishi maisha ya nguruwe pale Kibera huku wachache wanaingia mikataba ya kishetani.Hawa viongozi wa hizi nchi wana laana. Hivi kweli waliookuwa wanasaini hizo deal hawakusutwa rohoni?





