Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi ni Ndugu, hatufanyi siasa za makabila...sisi hatuuani kwa sababu ya Madaraka...Siasa kwetu haifanywi kwa matabaka(uwe na pesa ama usiwe nazo )
Mkono mtupu haulambwi, especially in the world of politics, you must have money wacha uongo.
 
Hakunaga...Ndani ya CCM hakunaga.
Wacha nikuulize, how many ministers na wakurugenzi wanao kua appointed by the president are from other parties? Nipe ratio, which area in your country iko upande wa upinzani kwa wingi?.,
 
Wacha nikuulize, how many ministers na wakurugenzi wanao kua appointed by the president are from other parties? Nipe ratio, which area in your country iko upande wa upinzani kwa wingi?.,
Elewa katiba ya Nchi0 kwanza kuhusu wateule wa Rais
 
KANU si ya kikabila, soma historia ya KANU, maybe kwa sababu president alitoka kwa wakalenjin, but ilianzishwa wakati wa Kenyatta (mkikuyu), NARC (National Rainbow coalition/ndio Rainbow) ilikua muungano wa vyama vingi kutoka upande wote wa Kenya, walimuondoa Moi kwa kumshinda Uhuru Kenyatta wakati aligombea urais kwa tikiti ya chama cha KANU dhidi ya mkikuyu mwenzake Mwai Kibaki., PNU was Kibaki's party, ODM ina umaarufu Nyanza, Western na pwani, Ali Hassan Joho, governor wa Mombasa ni wa ODM ila si mjaluo., Jubilee wengi wao ni Kikuyu na Kalenjin because of population but wako na wajumbe kutoka eneo mbali mbali za Kenya.,
Elewa Kenyan politics, ukitaka kua rais lazima utafute kura from tribes with big population, so the parties that are supported by people from a big population wewe uta conclude eti hizo chama ni za watu wa hiyo lugha, of which is not necessarily true. Kuna watu wanasimama as independent candidates for political position in jubilee and ODM strongholds (yaani mahali pa wafwasi wengi wa hizi chama) na bado wanapita.
KANU,NARC Rainbow,PNU..ODM.Jubilee.hvo ni vyama vya Makabila Makuu ya Kenya
 
KANU si ya kikabila, soma historia ya KANU, maybe kwa sababu president alitoka kwa wakalenjin, but ilianzishwa wakati wa Kenyatta (mkikuyu), NARC (National Rainbow coalition/ndio Rainbow) ilikua muungano wa vyama vingi kutoka upande wote wa Kenya, walimuondoa Moi kwa kumshinda Uhuru Kenyatta wakati aligombea urais kwa tikiti ya chama cha KANU dhidi ya mkikuyu mwenzake Mwai Kibaki., PNU was Kibaki's party, ODM ina umaarufu Nyanza, Western na pwani, Ali Hassan Joho, governor wa Mombasa ni wa ODM ila si mjaluo., Jubilee wengi wao ni Kikuyu na Kalenjin because of population but wako na wajumbe kutoka eneo mbali mbali za Kenya.,
Elewa Kenyan politics, ukitaka kua rais lazima utafute kura from tribes with big population, so the parties that are supported by people from a big population wewe uta conclude eti hizo chama ni za watu wa hiyo lugha, of which is not necessarily true. Kuna watu wanasimama as independent candidates for political position in jubilee and ODM strongholds (yaani mahali pa wafwasi wengi wa hizi chama) na bado wanapita.
Ni kwa nini utafute kura kwa mrengo wa kikabila????why ondoa hyo Kenya...ni kwa nini sio Mkenya bali ni Mkikuyu,mkamba,mluo nk..why?hapo ndo tunasema failed State.
 
The complexity of politics, nyie ni dead state, kama dead sea ilivyo, hakuna pa kutokea mpo mpo tu.
Ni kwa nini utafute kura kwa mrengo wa kikabila????why ondoa hyo Kenya...ni kwa nini sio Mkenya bali ni Mkikuyu,mkamba,mluo nk..why?hapo ndo tunasema failed State.
 
The complexity of politics, nyie ni dead state, kama dead sea ilivyo, hakuna pa kutokea mpo mpo tu.
Unakunbuka uchaguzi wa 2007???????kwa nini Mkalenjini amuue Mkikuyu???kwa nini mkamba amuue mlulya....Kwani hayo malabila sio sehemu ya Kenya.. ..Mnatupa Aibu sana E Africa....hzo mavitu ziko nchi ambazo azijitambui....
 
You need proper education on Kenya's political landscape; it is about population, that is the negatives of democracy, where majority rule, so the tribes with bigger populace are likely to rule the country.
On police brutality and extra judicial killings hatua zinachukuliwa sana if you follow Kenyan news; once kuna complaint na askari anaweza kukua identified anashikwa(thanks to Kenyan media). A resent case ni the one who tied and pulled a young lady on his motorbike, na yule askari alie mpiga risasi mtoto Eastleigh.,n.k., so you dont cherry pick isolated cases to draw a conclusion. Tanzania is worse on extra judicial killings na watu kupotea., pale hauna freedom to criticise the gov't anyhowly. Waulize your media houses.
Majority rules?, kwahiyo ninyi kura zenu hupigwa kwa misingi ya ukabila?, kila mtu huchagua kabila lake?. Ndio sababu tunasema hata uwe na uwezo na "Qualifications zote" lakini kama sio mkikuyu, Jaluo au Kalenjin hauwezi kuwa rais Kenya.

Kama nchi zingekua zinachagua kwa kutumia ukubwa wa makabila.

1)South Afrika wasingemchagua Mandela
2)Tanzania tusingempata Nyerere
3)Obama asingechaguliwa huko USA

Ninyi ni wabaguzi na wakabila sana.

Kuhusu kuwachukulia hatua wauaji, eleza nani hadi Leo amekamatwa kufuatia mauaji ya zaidi ya wakenya 2000 wa PEV 2007. Nani alikamatwa hadi Leo kufuatia kifo cha Chris Msando na Jacob Juma?

Huu ndio Uhuru wa kujieleza? Wawili taabani baada ya kuchapisha video ya Rais Uhuru, Raila wakitembea usiku
 
Wacha nikuulize, how many ministers na wakurugenzi wanao kua appointed by the president are from other parties? Nipe ratio, which area in your country iko upande wa upinzani kwa wingi?.,
Presidential System vs Parliamentary system. Unajua siasa au unaropoka hovyo?
 
I didn't ask about elective positions, kuna appointments; kama mawaziri, n.k., how many appointments are from other parties?., ama Tz ni technicaly a one party regime.
Presidential System vs Parliamentary system. Unajua siasa au unaropoka hovyo?
 
Back
Top Bottom