Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwaka huu treni ya kutumia umeme itakapoanza kazi najua majirani watabadili taarifa na kusema ipo Kenya. ..tumeshawachapa kwenye Kwenye BRT, ELECTRIFIED SGR, More of BRT phases coming up,tumewabonda kwenye JNIA T3,tumewasugua vizur kwenye Ukuaji wa abiria katika ABEID KARUME INTER AIRPORT ,TOURISM RECEIPTS last yr $2.6B
 
Ingekuwa higher angesema mko above 13k. But because you are below that number, ameround off the numbers to the nearest thousands to look better. So as of now you are still below 13k.
Propagandist gov't. [emoji23][emoji23][emoji23], but they are trying ata kama wanahema, applaud them leo., they like believing wako level moja or above Kenya, give them that wapate amani, it won't change the truth[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Truth is a powerful force, no one can alter it!
[emoji116][emoji116][emoji116]
IMG-20161220-WA0011.jpg
 
Argument yenye imechoka sana[emoji23], tafuta taarifa negative on Kenya ya ku post Kenyan news section to make Tz feel better wacha kelele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania's mentality in Africa
[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23]View attachment 1481222
Tumia lugha yako ya Taifa, wachana na mawazo ya kikoloni
 
Nyie ndio wapumbavu kupindukia[emoji23][emoji23][emoji23] baada ya mkoloni kuondoka u are colonized by CCM kishenzi, both body and soul(mind), wangekua na uwezo wangeshika na spirit zenyu, ila mwenyezi Mungu na hekima yake isio kua na kipimo ni mwema sana! ndio maana wanyenyekevu kwake wameona mwanga na wanakombolewa, can't be fooled, they can read in between the lines, dissecting propaganda from reality. Na ni wachache mno! The rest tabu tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CCM ni chama cha siasa, ni uamuzi wako kujiunga au kutojiunga. Huko kwenu ukabila ndio umewatawala huwezi kubadilisha kabila. Hivi inaingiaje akilini kwa mtu aliyepata elimu lakini bado anapiga kura kwa misingi ya ukabila?
 
Ukweli kaka[emoji23][emoji23] Nairobi mkoloni katuacha hoi[emoji23][emoji23]
Nairobi haiwezani na dar,yaani vitu vilivyofanyilika dar zamani ndo vinafanywa leo nairobi,Dar es salaam sidewalk zipo hadi kwenye streets,hiyo ni yombo
No sidewalks no tarmac[emoji23][emoji23], tutafika tu usijali[emoji23][emoji23]
IMG-20191220-WA0006.jpg
IMG-20191220-WA0007.jpg
 
Ingekuwa higher angesema mko above 13k. But because you are below that number, ameround off the numbers to the nearest thousands to look better. So as of now you are still below 13k.
Hiyo ni tabia ya wakenya kupenda kujikweza, huku kwetu hatuna tabia hiyo, hata ninyi wakenya mnajua kwamba "Tanzanians are humble and genuine people".
 
Language sio mentality, enyewe wewe ni punguani, linguistics has no bearing on reasoning, ata uzungumze Kiswahili mufti, ama French ilio simama, ama uongee queens language sawa sawa(kizungu), kama wewe ni fala u will propagate your stupidity in a clear way in whatever language u choose[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuyaache haya kaka., let's move on...
Tumia lugha yako ya Taifa, wachana na mawazo ya kikoloni
 
Language sio mentality, enyewe wewe ni punguani, linguistics has no bearing on reasoning, ata uzungumze Kiswahili mufti, ama French ilio simama, ama uongee queens language sawa sawa(kizungu), kama wewe ni fala u will propagate your stupidity in a clear way in whatever language u choose[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuyaache haya kaka., let's move on...
Lugha, mavazi, vyakula, na ngoma ni utambulisha wa jamii husika, huwezi kwenda kwa wajaluo ukakuta wanazungumza kikamba hata kama wanakijua vizuri, huwezi kwenda Uingereza ukakuta wanazungumza kijerumani wenyewe kwa wenyewe labda awepo mjerumani asiyefahamu kiingereza.

Sisi wote hapa tunaelewa Kiswahili vizuri na wote Kiswahili ni lugha ya mataifa ya Kenya na Tanzania, wewe hicho kiingereza unamlenga nani, wacha upumbavu wako.
 
"...are humble.." ungejua maana ya humility wewe ungefyata domo domo., you are the grand definition of pride, kama kweli Tanzanians are truly "humble"(if not stupid and idiots), then wewe ndio unawaibisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni tabia ya wakenya kupenda kujikweza, huku kwetu hatuna tabia hiyo, hata ninyi wakenya mnajua kwamba "Tanzanians are humble and genuine people".
Serikali ya ccm inataka raiya kama watanzania ili itawale milele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_1549015848195.jpg
 
Uko down[emoji23][emoji23][emoji23].,
Lugha, mavazi, vyakula, na ngoma ni utambulisha wa jamii husika, huwezi kwenda kwa wajaluo ukakuta wanazungumza kikamba hata kama wanakijua vizuri, huwezi kwenda Uingereza ukakuta wanazungumza kijerumani wenyewe kwa wenyewe labda awepo mjerumani asiyefahamu kiingereza.

Sisi wote hapa tunaelewa Kiswahili vizuri na wote Kiswahili ni lugha ya mataifa ya Kenya na Tanzania, wewe hicho kiingereza unamlenga nani, wacha upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom