Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 10,168
- 9,536
Wewe unataka kunilazimisha nijiexpress kwa kiswahili, which am not good at?., I will mix, Engkish/Swahili mradi point inaeleweka na wengi humu., wewe meza wembe.Lugha, mavazi, vyakula, na ngoma ni utambulisha wa jamii husika, huwezi kwenda kwa wajaluo ukakuta wanazungumza kikamba hata kama wanakijua vizuri, huwezi kwenda Uingereza ukakuta wanazungumza kijerumani wenyewe kwa wenyewe labda awepo mjerumani asiyefahamu kiingereza.
Sisi wote hapa tunaelewa Kiswahili vizuri na wote Kiswahili ni lugha ya mataifa ya Kenya na Tanzania, wewe hicho kiingereza unamlenga nani, wacha upumbavu wako.