Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pale Dodoma mji wa serikali juzi wamezindua mtandao wa barabara zenye jumla y 51km kati yahizo 11km ni njia nne...
Kuna mtandao wa ring road njia nne utzindulia hv karibuni 110km plus existing road Dodoma inakuja kua moja ya miji yenye mtandao mkubwa wa barabara zenye lami ndani y mda mfupi sana

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
IMG_3883.jpg

IMG_3882.jpg
 
I like your(Tanzanians) deceived/erroneous perception influenced by subjective look at things; "my mother is the best cook in the whole world" mentality. Hapa ni vioja tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisaikoloji unaonyesha kuumia moyoni baada ya kuona hiyo shule hiyo ndiyo inaitwaga " naked truth "
Ila NAKUPONGEZA KWA KITU KIMOJA nacho ni kuwa na uwezo Wa kuangalia hata hiyo video maana kwa mkenya kuweza kutazama video you tube ni nadra sana hivyo nakupongeza wewe ni mmoja wa maslumist wachache wenye kumbudu internet cost
 
I like your(Tanzanians) deceived/erroneous perception influenced by subjective look at things; "my mother is the best cook in the whole world" mentality. Hapa ni vioja tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisaikoloji unaonyesha kuumia moyoni baada ya kuona hiyo shule hiyo ndiyo inaitwaga " naked truth "
Ila NAKUPONGEZA KWA KITU KIMOJA nacho ni kuwa na uwezo Wa kuangalia hata hiyo video maana kwa mkenya kuweza kutazama video you tube ni nadra sana hivyo nakupongeza wewe ni mmoja wa maslumist wachache wenye kumbudu internet cost
 
Usijidanganye shule za serikali za tz ni bora mara 10 ya zakenya ,maana nyinyi pimbi za Kenya kwa ubishi wa kipuuzi amjambo
Open a thread to justify your beliefs, utapata taabu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] in matters education you don't want to know[emoji23][emoji23][emoji23] I like your reasonings here, entertainment tupu[emoji23][emoji23]
 
Siku hukijua kwanini construction board ni ngumu kuonekana kama IPO basi Italia sana ,sababu ni ufisadi ulio nyuma ya huo ujenzi mnajengewa kitu lower quality baadae mkija kugundua ajulikani ni Nani aliye jenga mnaanza kuchanganyana Pesa isha pigwa
Inakaa zile procurement zao za kimagumashi contractor na consultant wanajua wanachofanya na kujilinda dhidi ya public scrutiny! Mradi ukikamilika hamna wa kumbana! Kiuhalisia good contractor n consultant r always proud to market their work!
 
Wale mapimbi walio kuwaa wanabisha kuwa Tz haina tarmac road 13000kms bado wapo[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]...na U/C 2000km...hii cyo nchi ya kutania tania kwa sasa anae bisha akaskiliz hotuba ya rais kuanzia dakik 56...kupitia global tv online
 
hakuna kuzungusha mada wapi sign board Siku utapata mm nafunga acc jamii forum nje hapo tuonesheni render
Signboard itakusaidia na nini? What you have to know construction is going on even though inakuuma hivo.
 
Back
Top Bottom