Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_2020-06-16 Air Tanzania on Twitter Air Tanzania is pleased to confirm that the char...png


Tuache utani Suti za Mh. Rais zinamkaa vizuri sana.
 
Siyo utani bado sana....i was laugh yesterday after one of kunya leader fly with chopper to the mad school...that is not the interesting part ,he actual join them to build another mad class
za slum zitabisha
 
Kweli uliona sawasawa, nataka hizo picha wacha kuchelewa, Kenya hakuna ata shule moja ya blocks/tofali , wewe bado haujui vizuri, iyo uliona nikidogo, keti nikusimulie hali ya Kenya ilivyo ovyo EAC, tope left, right centre.,
Usijidanganye shule za serikali za tz ni bora mara 10 ya zakenya ,maana nyinyi pimbi za Kenya kwa ubishi wa kipuuzi amjambo
 
Kweli kweli kweli umenena dogo,, Kenya kila kitu ni kwenye makaratasi, tuazime CCM tafadhali naomba
Kisaikoloji unaonyesha kuumia moyoni baada ya kuona hiyo shule hiyo ndiyo inaitwaga " naked truth "
Ila NAKUPONGEZA KWA KITU KIMOJA nacho ni kuwa na uwezo Wa kuangalia hata hiyo video maana kwa mkenya kuweza kutazama video you tube ni nadra sana hivyo nakupongeza wewe ni mmoja wa maslumist wachache wenye kumbudu internet cost
 
Najua unatamani kulia. Let me tell you something point blank, utakufa ukingoja sign board ya Expressway cause it won't be there.
Siku hukijua kwanini construction board ni ngumu kuonekana kama IPO basi Italia sana ,sababu ni ufisadi ulio nyuma ya huo ujenzi mnajengewa kitu lower quality baadae mkija kugundua ajulikani ni Nani aliye jenga mnaanza kuchanganyana Pesa isha pigwa
 
Najua unatamani kulia. Let me tell you something point blank, utakufa ukingoja sign board ya Expressway cause it won't be there.
hutapata sign board hili nakwambia mark my words 😂😂😂😂 nilie na render au
 
Back
Top Bottom