It will be massive,an overpass through cbd and past westlands,, 11km overpass
It will be massive,an overpass through cbd and past westlands,, 11km overpass
Since when did you talk facts always blablabla..nothing special at all....at the sametime IMF give you alert about over burden of debt[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]...We’ve never defaulted on loans,a bigger economy can borrow more!
Acha uongo dogo, magu ana mafeelings sera yake kubwa ni kuenda sambamba na kenya..Magu hajawahi fikiria kenya, the guy has his own dream to have Tz look like African Europe, kwnz km hujui Magu anaidharau sn kenya, haamini kama kenya ni nchi huru inayojitegemea.
Kwn unafikiria hapa tuko kibishana kila wakati..Ushatii [emoji3][emoji3]
Aliyekwambia terminal 3 kajenga Magu alikudanganya, pia Magu kawaiga kwny ujenzi wa bwawa kubwa la umeme EA, kawaiga kwny MGR rehabilitation cz hata nyie mshawahi kuifanya MGR yenu iwe ya kisasa yenye speed over 70km/hr, kawaiga kujenga BRT phase 2 and phase 3, yn Magu anaiga kenya kila kitu hata kukopa kopa, anaiga kupambana na rushwa na ufisadi, anaiga kenya kujenga mji wa kisasa zaidi EA wenye white house yny eneo kubwa kuliko zote duniani [emoji3][emoji3] Magu bhn yn anaiga mpk kuomba misaada ya chakula, juzi tu hapa katoka kumuiga Uhuru jinc ya kutumia magonjwa kuomba pesa za misaada [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acha uongo dogo, magu ana mafeelings sera yake kubwa ni kuenda sambamba na kenya..
Na akiendelea hvo itabidi akope siri siri zaidi ndipo afikie tulipo sai
1.Terminal 3 kajenga ili kujibu jkia,
2.Sgr ana force vile vile, kaamua kujenga ya umeme ndio yetu ionekane ya ovyo lkn bado inapumulia.
3.Kibaka ni kw ajili ya thika,
4.Ubungo kajenga kisa kujibu flyovers za kenya.
Yani the list is endless..
Hii c ndo wanataka kuifanya iwe trade center au co?From Kurasini, Dar es Salaam. View attachment 1478212
Corona imewaachia bonge la economic damage.Aliyekwambia terminal 3 kajenga Magu alikudanganya, pia Magu kawaiga kwny ujenzi wa bwawa kubwa la umeme EA, kawaiga kwny MGR rehabilitation cz hata nyie mshawahi kuifanya MGR yenu iwe ya kisasa yenye speed over 70km/hr, kawaiga kujenga BRT phase 2 and phase 3, yn Magu anaiga kenya kila kitu hata kukopa kopa, anaiga kupambana na rushwa na ufisadi, anaiga kenya kujenga mji wa kisasa zaidi EA wenye white house yny eneo kubwa kuliko zote duniani [emoji3][emoji3] Magu bhn yn anaiga mpk kuomba misaada ya chakula, juzi tu hapa katoka kumuiga Uhuru jinc ya kutumia magonjwa kuomba pesa za misaada [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kutoka Aga khan hadi Tegeta, reli yote itapita juu. Silicon Dar patapendeza sana. The towers pembeni na road expansion ikikamilika na BRT. Mfano wa reli ya namna hiyo ni hii hapa
Noma kweli[emoji4][emoji4]Kutoka Aga khan hadi Tegeta, reli yote itapita juu. Silicon Dar patapendeza sana. The towers pembeni na road expansion ikikamilika na BRT. Mfano wa reli ya namna hiyo ni hii hapa View attachment 1478222
Acha uongo dogo, magu ana mafeelings sera yake kubwa ni kuenda sambamba na kenya..
Na akiendelea hvo itabidi akope siri siri zaidi ndipo afikie tulipo sai
1.Terminal 3 kajenga ili kujibu jkia,
2.Sgr ana force vile vile, kaamua kujenga ya umeme ndio yetu ionekane ya ovyo lkn bado inapumulia.
3.Kibaka ni kw ajili ya thika,
4.Ubungo kajenga kisa kujibu flyovers za kenya.
Yani the list is endless..
Geza UloleMkuu naomba zile picha za proposed electric multiple train itakayojengwa kutoka Agakhan hadi Tegeta...
karibu bro 😂😂Nitakuja tuyajenge humo 🤔
kubali yaishe 😂😂😂Hahaa!!kuhusu kuchomoka hapo sibishani jomba...anyway nkm hatupatana kidogo, itabidi yameisha tu
Mwenge intersection will be the most complicated in Dar es salaam and Most beautiful..cause Hio MRT ,BRT na Cars..seh..nafasi kubwa inahitajika but anything can be done
Like I said you don’t have a clue about anything,headless chickens 🐔!Since when did you talk facts always blablabla..nothing special at all....at the sametime IMF give you alert about over burden of debt[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]...