Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Water tank kama hizo huku Tz yamejengwa na mafundi wazawa na yako imara tu,

Failed state utasikia mara ghorofa limeanguka, mara daraja, mara water tank,

Fundi kutoka Tanzania ambaye hajasoma anamzidi mbali sana fundi wa kenya aliyesomea.
ni kweli chief mi huwaga nawadharau sana wakenya yaani wakenya ni zaidi ya kuwadharau tuendelee kuwa enjoy tu
 
Aliyekwambia terminal 3 kajenga Magu alikudanganya, pia Magu kawaiga kwny ujenzi wa bwawa kubwa la umeme EA, kawaiga kwny MGR rehabilitation cz hata nyie mshawahi kuifanya MGR yenu iwe ya kisasa yenye speed over 70km/hr, kawaiga kujenga BRT phase 2 and phase 3, yn Magu anaiga kenya kila kitu hata kukopa kopa, anaiga kupambana na rushwa na ufisadi, anaiga kenya kujenga mji wa kisasa zaidi EA wenye white house yny eneo kubwa kuliko zote duniani Magu bhn yn anaiga mpk kuomba misaada ya chakula, juzi tu hapa katoka kumuiga Uhuru jinc ya kutumia magonjwa kuomba pesa za misaada
😛 Hayo maneno yangekua ngumi basi hizo zimetua shingoni
 
Adjustments.jpg
 
Dar ni aibu, left, right, centre! here it's just mere rotating around common places., the bigger percentage tuinaijua saana a pure definition ya LDC.,
dar huiwezi budaa yani go east or west hili nakwambia kabisa ulijue na ulitambue
 
Sasa ona ulivyo ignorant wewe nikuvuka border kuenda mashambani kuwaona jamii yako tu, ama wewe ni hawker pale kwa border points?., nilijua haujui Mombasa, wewe ni google diehard tu
Stick with your Dar, it gives you solace from your reality
kwan mombasa ina jipya zaidi ya dongo kundu na mama ngina mm mombasa ndio hunidanganyi kabisa budaa
 
Poverty mindset entertaining umenyamba point kakaKenya hizo hazipo kabisaaa, kwetu bado saana,
More pictures tafadhali niendelee kushangaa


Hizi shule zilizopo Bukoba Kenya nzima hawawezi kuwa nazo
 
Poverty mindset entertaining umenyamba point kakaKenya hizo hazipo kabisaaa, kwetu bado saana,
More pictures tafadhali niendelee kushangaa
Siyo utani bado sana....i was laugh yesterday after one of kunya leader fly with chopper to the mad school...that is not the interesting part ,he actual join them to build another mad class
 
Back
Top Bottom