Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Deni letu ni dogo sio kubwa kama la kwenu Hakuna nchi ambayo haidaiwi
Hyo hela ya nje bado ni nyingi ukilinganisha na ya ndani, na bado mna aminishiwa km hamukopi eti mnatumia hela za ndani huku deni likipanda tu
 
Kuna a thin line between herbal medicine na upumbavu wa kiaina, that have seen in Tz., guess works kibao na deliberate idiocy, have read some threads na nikaona upumbavu flani. Let's not go there., sazingine your people are an embarrassment, from the top to the least
How can we believe you for what you are trying to insinuate? Give us more details of the matter!
 
Hyo hela ya nje bado ni nyingi ukilinganisha na ya ndani, na bado mna aminishiwa km hamukopi eti mnatumia hela za ndani huku deni likipanda tu
Nani kakuambia hatukopi, sisi tunakopa kwa kulingana na mahitaji muhimu tu, kwanza tunahakikisha kwamba nguvu yetu ya ndani inatumika kwa umakini bila ubadhilifu wa pesa zetu, sehemu ndogo iliyobaki ndio tunaenda kukopa. Kenya mnakopa kila mradi, pesa ya ndani haitumiki vizuri zaidi ya mishahara na rushwa.
 



EaeJybVWkAASlEg


kuna computer laboratory pia hapo
IMG_1592166121.605300.jpg
 
Bwawa la kufua umeme la Ethiopia na Mto Nile inaweza kuleta vita kati ya hizi nchi mbili za Ethiopia na Egypt. Egypt ni kama wamejimilikisha Mto Nile
IMG_1592166497.652661.jpg

Tweet ya billionaire wa Misri
IMG_1592166533.068257.jpg

other tweets



hii kitu mbaya sana, imagine umejenga bwawa lako kwa matrilioni ya hela afu majamaa hawataki ujaze hilo bwawa
 
Back
Top Bottom