Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Hii inakarbia kuisha ya kibaha..picha zilishatumwaga..
Hii inakarbia kuisha ya kibaha..picha zilishatumwaga..
mkuu hayo yote ni mabalaaa mzee watakuja kuelewa tu....hawa wakikuyu....Daraja la Wami latakiwa kumalizika kbla 2021
View attachment 1478376
Labda their mighty and beloved Kibera slum & Co. Dar hatuna na haitawahi kutokea kamwe!Tukisema hapa Dar iko mbele ya Nairobi mnabisha, umeletewa picha ya Dar ww Unaleta render, yn vitu ambavyo nyie mna dream kuwa navyo tayari Dar iko navyo, ila hakuna kitu nyie mnacho Dar haina![]()
Wazee wa upper hill na west land, kila siku hzo hzo tu wenzao tuna develop kwa kwenda mbele wao wameganda tu na west land yao, ila leo Simon umejua kuwanyoosha, umeweka hapa miradi ambayo itatekelezwa in the near future, na kinachowanyima raha zaidi ni uncle Magu akisema ujue anafanya, tofauti na jubilee mpk leo wanahangaika kujenga BRTmkuu hayo yote ni mabalaaa mzee watakuja kuelewa tu....hawa wakikuyu....
tuwaache waendelee kupost upper hill yao miaka nenda rudi..... wenzao tunachomoka zetu kivyetu vyetu


Ninachomkubar magu hapoi kila siku anakuja na project mpya na inafanyika ndani ya mda..Wazee wa upper hill na west land, kila siku hzo hzo tu wenzao tuna develop kwa kwenda mbele wao wameganda tu na west land yao, ila leo Simon umejua kuwanyoosha, umeweka hapa miradi ambayo itatekelezwa in the near future, na kinachowanyima raha zaidi ni uncle Magu akisema ujue anafanya, tofauti na jubilee mpk leo wanahangaika kujenga BRT![]()
Hakuna nchi ambayo haidaiwi57% tu..lkn mbona mnadaiwa pesa nyingi hvo na mabeberu..si nilisikia nyinyi mnatumiaga hela za ndani
Deni letu ni dogo sio kubwa kama la kwenu Hakuna nchi ambayo haidaiwi
Without blue towers,nothing else to show,nothing meaningful
Kama unamchoro wa flyover ya uhasibu fanya kui2ma
Without blue towers,nothing else to show,nothing meaningful
Yàah but moyoni unaumia...ndogo tu kama uchumi wenyu. Keep it that way. Wazito wanajijua.
PPP and real measure ya uchumi wa nchi..David Ndii alisha wambia lakini hawasikii...🤣🤣🤣Gdp per capital ndio kitu cha maana zaidi sio nominal Kwan hata china is in trillions lakini hawana maisha bora kama south korea ama Japan
Sema tenaWestlands is better than this tiny posta
View attachment 1478344

