Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

23FBE8C7-3C22-4FB7-8B43-EA135866D14F.jpeg
F1DD54DA-2A3D-4542-A381-8D9969D9425D.jpeg
128A08F4-DBC7-45F1-BF9A-96E3D7B23513.jpeg
C9CC4F50-C53C-47E4-8C59-DF6B1FE5C420.jpeg
 
Naona makutano ya barabara ya Chang'ombe, Kawawa na Nyerere maarufu kama mataa ya Chang'ombe au Veta kuna harakati zinaanza kwa kuzungusha mabati halaf naona gari zinapita kati. Je inawezekana ikawa ndo ujenzi wa flyover katika ile phase II ya BRT itakayokua na flyovers mbili pale na Uhasibu...??

Eng.Simon tupe data, au mzee ichoboy na NDINDA pitieni pale tule maphoto

Hapo sasa kama unavyoona magari yameanza kupita kwenye zege (waliondoa ile median na kuweka zege) huku eneo la zamani likiwa limezungushiwa.

Adjustments.jpg
 
Back
Top Bottom