Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good for nothing,Bado mko chini sana
You wish it to so but it’s not,we are still popping!tz GDP 61,UG 33 RW 10 KE 99,do the math,statistics don’t lie but liars like you can measure the wrong things and say they’re the right numbers.
 
You wish it to so but it’s not,we are still popping!tz GDP 61,UG 33 RW 10 KE 99,do the math,statistics don’t lie but liars like you can measure the wrong things and say they’re the right numbers.
Sasa mbona vitu kama hivi vinatokea kwenye nchi inayojisifu kuwa na uchumi mkubwa.


Half of Uhuru's projects have stalled
 
You wish it to so but it’s not,we are still popping!tz GDP 61,UG 33 RW 10 KE 99,do the math,statistics don’t lie but liars like you can measure the wrong things and say they’re the right numbers.
Gdp per capital ndio kitu cha maana zaidi sio nominal Kwan hata china is in trillions lakini hawana maisha bora kama south korea ama Japan
 
Gdp per capital ndio kitu cha maana zaidi sio nominal Kwan hata china is in trillions lakini hawana maisha bora kama south korea ama Japan

You still lag behind Kenya 🇰🇪 on that too,so what’s your point?
 
Mkuu naomba zile picha za proposed electric multiple train itakayojengwa kutoka Agakhan hadi Tegeta...
Here you go
C1EBBA2E-32B1-4A34-8376-6130B94E11B6.jpeg
1D8898AB-3B20-4D85-BC6E-A6835E73BE52.jpeg
A3D445C0-7801-4D00-9299-CD6ADD82E12C.jpeg
 
Yet we are the sixth largest economy in Africa.Every project you wish to be a white elephant is not.
Yet you take a loan in every single project...and here your brugging about jiiiidiiiipiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Yet you take a loan in every single project...and here your brugging about jiiiidiiiipiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
We’ve never defaulted on loans,a bigger economy can borrow more!
 
yani engine cc ya crown hata ingeekewa 260 speed ingekanyaga kisawasawa ww utakua hii sector bado kidogo haupo vzr[emoji23][emoji23]
Hahaa!!kuhusu kuchomoka hapo sibishani jomba...anyway nkm hatupatana kidogo, itabidi yameisha tu
 
Uchumi wa kwenye karatasi ni ushuzi kunuka tu hauna uhalisia wwte, kwa mfano wanachukua pato la Mo na Bakhressa wanaanza kuligawa kwa WaTz wote zen wanakuambia kila mTz ana pato la kiasi fulani, wakati ukweli halisi haupo hivyo, ss huo ni nn km co ufalamanga.
Yaaani huo ni zaidi ya ungese

Mijamaa inachokifanya kuwekeza na kuwafanya kama vibaraka na kwa kweli wanaishia kuwa watumishi matarishi

Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom