komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Haha!!kubali ulipost gari tofauti tu!!
Haha!!kubali ulipost gari tofauti tu!!
Hata urule vipi bado haibadilishi km mabeberu wanawadai hela nyingi sana katika deni lenusoma hii ni budget ya 2020 [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
debt to gdp ratio is 28% while in kenya is now heading to 70%[emoji116][emoji116][emoji116]
57% tu..lkn mbona mnadaiwa pesa nyingi hvo na mabeberu..si nilisikia nyinyi mnatumiaga hela za ndaniUmesahau kuwa deni la kenya ni 64% ya GDP yenuNdo unataka kulinganisha na deni lenu au
55trillion za kitan kwanza ni dollar ngapi vile tulinganishe na uchumi wenu[emoji1787][emoji1787]Hebu weka deni lenu tulinganishe [emoji3][emoji3][emoji3]
umekasirika 😂😂😂😂Haha!!kubali ulipost gari tofauti tu!!
ehehhehehe 28% vs 70% haitabadilika mark my words😂😂Hata urule vipi bado haibadilishi km mabeberu wanawadai hela nyingi sana katika deni lenu
$23.9B55trillion za kitan kwanza ni dollar ngapi vile tulinganishe na uchumi wenu[emoji1787][emoji1787]
Naona makutano ya barabara ya Chang'ombe, Kawawa na Nyerere maarufu kama mataa ya Chang'ombe au Veta kuna harakati zinaanza kwa kuzungusha mabati halaf naona gari zinapita kati. Je inawezekana ikawa ndo ujenzi wa flyover katika ile phase II ya BRT itakayokua na flyovers mbili pale na Uhasibu...??
Eng.Simon tupe data, au mzee ichoboy na NDINDA pitieni pale tule maphoto
Yaaani hapo ni bandika bandua.Naona makutano ya barabara ya Chang'ombe, Kawawa na Nyerere maarufu kama mataa ya Chang'ombe au Veta kuna harakati zinaanza kwa kuzungusha mabati halaf naona gari zinapita kati. Je inawezekana ikawa ndo ujenzi wa flyover katika ile phase II ya BRT itakayokua na flyovers mbili pale na Uhasibu...??
Eng.Simon tupe data, au mzee ichoboy na NDINDA pitieni pale tule maphoto
Hakuna kipindi Kenya imedharau Tz kama hiki., many Kenyans didn't know shit about Tz but wameijua for far negative reasons and dumb moves, for real mumedharaulika kishenzi. At first Magufuli was the bomb, everybody here praised him, guys applauded brt n other devts, the fight against corruption etc, but sooner than later the stink from tz started to surface, naivete n backward acts, misinformed moves by Magu n his regime, etc now he is seen as a "a king walking naked and no one is daring to say to his face: "sir, uko uchi.." so tulia, fanya utafiti mwafaka, stop basing your argument on cherry picked pieces kwa mtandao. Mumedharauliwa kishenzi.Hakuna kipindi Wakenya wanahofu na WaTz km hiki, hakuna kipindi Tz imekuwa roll model ya kenya km hiki na hakuna kipindi Wakenya wanaheshima kwa Tz km hiki.
tuusan angalia per capita ya Ghana is not far from Kenya's as at Dec 2019, both ziko on 2000s, despite our population almost doubling theirs! So technically who is doing better? now why is your per capita small?., should we blame your big population ama uchumi mdogo? Ama mzungu kawaonea with "fake propagandist data"[emoji23][emoji23],Ghana Is doing better than you...angalia per capital yao vs yenu ,funga domo lako
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Km ni ichoboy words mbna poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ehehhehehe 28% vs 70% haitabadilika mark my words[emoji23][emoji23]
Duh!!yani $23bl hyo ni sawa na 35% ya uchumi wa tz[emoji1787][emoji1787]$23.9B
Ukikubali wala hutokufa..ndio nilishngaa tangu lini athlete ikasoma "200"umekasirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa!!magu ataumia sana, kaona thika akaweweseka eti na yeye anajenga kibaka local..Hakuna kipindi Wakenya wanahofu na WaTz km hiki, hakuna kipindi Tz imekuwa roll model ya kenya km hiki na hakuna kipindi Wakenya wanaheshima kwa Tz km hiki.
Duh!!yani $23bl hyo ni sawa na 35% ya uchumi wa tz[emoji1787][emoji1787]
Kwhyo deni la kenya ni sawa na uchumi wote wa tanza
dawa imekuingia lakini 💉💉👇👇👇Ukikubali wala hutokufa..ndio nilishngaa tangu lini athlete ikasoma "200"
Km ni ichoboy words mbna poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lkn km ni hyo bado mtabaki kuwa mnadaiwa zaidi na mabeberu View attachment 1477749
Ukikubali wala hutokufa..ndio nilishngaa tangu lini athlete ikasoma "200"