ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
na cruiser hio😂😂😂👇👇Ukikubali wala hutokufa..ndio nilishngaa tangu lini athlete ikasoma "200"
na cruiser hio😂😂😂👇👇Ukikubali wala hutokufa..ndio nilishngaa tangu lini athlete ikasoma "200"
Ukikubali wala hutokufa..ndio nilishngaa tangu lini athlete ikasoma "200"
Alaaa!!nimejuaje tofauti basi km sina ujuzi na ishu za magarimtu unaendesha guta, utajuaje mambo ya magari [emoji23]
Cruiser gani?na cruiser hio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]View attachment 1477767View attachment 1477768
Crown, gari poa2
hehehe ww unajua cc ya crown engine au unazungumza tu😂😂😂 subaru legacy iliketi chini kwa pullingCrown, gari poa2
Lkn ile picha ya kwanza achana nayo, miziki ya 200 and above huwezani nayo
Crown haijawai niangusha..hehehe ww unajua cc ya crown engine au unazungumza tu[emoji23][emoji23][emoji23] subaru legacy iliketi chini kwa pulling
Rent hyo gari katika organisation yyte uingize hela ya maana..[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1477790
Naona makutano ya barabara ya Chang'ombe, Kawawa na Nyerere maarufu kama mataa ya Chang'ombe au Veta kuna harakati zinaanza kwa kuzungusha mabati halaf naona gari zinapita kati. Je inawezekana ikawa ndo ujenzi wa flyover katika ile phase II ya BRT itakayokua na flyovers mbili pale na Uhasibu...??
Eng.Simon tupe data, au mzee ichoboy na NDINDA pitieni pale tule maphoto
Corona haitakaa isahau ilichokutana nacho tz.[emoji16][emoji16]R.I.P Corona.
Bongo watu wanakula bata
SafiiYeah, ni zile flyovers mbili za uhasibu na Chang’ombe kwenye mradi wa BRT phase II
Naona makutano ya barabara ya Chang'ombe, Kawawa na Nyerere maarufu kama mataa ya Chang'ombe au Veta kuna harakati zinaanza kwa kuzungusha mabati halaf naona gari zinapita kati. Je inawezekana ikawa ndo ujenzi wa flyover katika ile phase II ya BRT itakayokua na flyovers mbili pale na Uhasibu...??
Eng.Simon tupe data, au mzee ichoboy na NDINDA pitieni pale tule maphoto
Wakenya mnaona wenzenu tulipofika, heheheheheeee km USA au China, yn mradi unafanyika hapa hapa nchini af cc wananchi hatujui kutokana na uwingi wa miradi [emoji3][emoji3][emoji3]Leo Asubuhi nimepita pale na kujionea kazi ikiendelea. Tutafuatilia zaidi.
Hahahahahah unajifariji au co, cku hz Tz ndo imegeuka case study ya Wakenya na co USA au UK[emoji3][emoji3]Hakuna kipindi Kenya imedharau Tz kama hiki., many Kenyans didn't know shit about Tz but wameijua for far negative reasons and dumb moves, for real mumedharaulika kishenzi. At first Magufuli was the bomb, everybody here praised him, guys applauded brt n other devts, the fight against corruption etc, but sooner than later the stink from tz started to surface, naivete n backward acts, misinformed moves by Magu n his regime, etc now he is seen as a "a king walking naked and no one is daring to say to his face: "sir, uko uchi.." so tulia, fanya utafiti mwafaka, stop basing your argument on cherry picked pieces kwa mtandao. Mumedharauliwa kishenzi.
Uchumi wa kwenye karatasi ni ushuzi kunuka tu hauna uhalisia wwte, kwa mfano wanachukua pato la Mo na Bakhressa wanaanza kuligawa kwa WaTz wote zen wanakuambia kila mTz ana pato la kiasi fulani, wakati ukweli halisi haupo hivyo, ss huo ni nn km co ufalamanga.tuusan angalia per capita ya Ghana is not far from Kenya's as at Dec 2019, both ziko on 2000s, despite our population almost doubling theirs! So technically who is doing better? now why is your per capita small?., should we blame your big population ama uchumi mdogo? Ama mzungu kawaonea with "fake propagandist data"[emoji23][emoji23],
Magu hajawahi fikiria kenya, the guy has his own dream to have Tz look like African Europe, kwnz km hujui Magu anaidharau sn kenya, haamini kama kenya ni nchi huru inayojitegemea.Hahaaa!!magu ataumia sana, kaona thika akaweweseka eti na yeye anajenga kibaka local..
Sai kaamu kujenga eti draja la 200m watu wazima wameamua kumjibu na kitu cha 27km ambacho kujenga labda afanye kishingo upande
We have no one to blame but ourselvestuusan angalia per capita ya Ghana is not far from Kenya's as at Dec 2019, both ziko on 2000s, despite our population almost doubling theirs! So technically who is doing better? now why is your per capita small?., should we blame your big population ama uchumi mdogo? Ama mzungu kawaonea with "fake propagandist data"[emoji23][emoji23],