Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I see, wengine jehanamu tunaisoma tuu kwenye vitabu na kuisikia kwenye vyombo vya habari lakini kumbe Nairobi wanaishi na Jehanamu inatwa kibera! Sijui wakazi wa kibera nao huwa wanaambiwa wakifa watakwenda jehanamu wakati tayari wapo jehanamu!
Huko ndio sehemu pekee dar inawezqa linganishwa na nairobi
 
Ss hzo huku kwetu ndipo wanaishi poor people, lkn tukitaka kulinganisha na poor people wa kenya mnaanza kulia lia oohh dream house unalinganisha na kibera, ss tufanyeje mana kosa co letu, maskini tupambanishe na maskini mwenzie au co
Poor people wapi na wakati hao ndio midsle class
 
Kalale nacho maaninaa this is new Tz, industrialized countryView attachment 1466164View attachment 1466165
Industrialized country? 😂 😂 😂 😂
Tanzania nchi ya viwonder
1849697_SERIKALI_YA_VIWANDA_BONGO.jpg
 
And because of that, Pangani will remain to be the only underpass in East Africa the one in Mombasa is completed.

View attachment 1465937View attachment 1465939View attachment 1465941
Kijana unajua maana ya underpass?

Kama hii ni underpass basi hata nyumba unayoishi ni undershelter

Sijaona barabara iliyopita CHINI YA ARDHI mpaka uite underpass wala hata juu ya hicho unachokiita underpass hakuna treni wala magari wala pedestrians wala ndege inayopita juu ya hiyo structure

Saa nyingine ni kujua tu simple English terminologies sio mpaka uwe mhandisi wa ujenzi.
 
Ndugu zetu wa Kunya land Ubungo interchange bado haijakamilika. Punguzeni hasira kwasasa. Nashauri mkaongeze deni mjenge labda itaisha kabla ya hii ili tuwe sawa.
 
Back
Top Bottom