Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I see, wengine jehanamu tunaisoma tuu kwenye vitabu na kuisikia kwenye vyombo vya habari lakini kumbe Nairobi wanaishi na Jehanamu inatwa kibera! Sijui wakazi wa kibera nao huwa wanaambiwa wakifa watakwenda jehanamu wakati tayari wapo jehanamu! ๐Ÿ˜ƒ ๐Ÿ˜ƒ ๐Ÿ˜ƒ
 
Hata hizi pia ni banda za hawkers? Coz Naona zikifanana na zile nilipost za ubongo View attachment 1466148
Ss hzo huku kwetu ndipo wanaishi poor people, lkn tukitaka kulinganisha na poor people wa kenya mnaanza kulia lia oohh dream house unalinganisha na kibera, ss tufanyeje mana kosa co letu, maskini tupambanishe na maskini mwenzie au co
 
What is official? Kijana Tandale๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡jitazame mulipo
82B32A9A-E7AC-40E6-A1CA-12A2B29B3C24.jpeg
5C7A270C-6E6B-4642-A67C-EB3343793D76.jpeg
 
hasira za ubungo zinafanya kazi ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom