Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kijana unajua maana ya underpass?

Kama hii ni underpass basi hata nyumba unayoishi ni undershelter

Sijaona barabara iliyopita CHINI YA ARDHI mpaka uite underpass wala hata juu ya hicho unachokiita underpass hakuna treni wala magari wala pedestrians wala ndege inayopita juu ya hiyo structure

Saa nyingine ni kujua tu simple English terminologies sio mpaka uwe mhandisi wa ujenzi.
Hajapost interchange hata 1
Ni junctions 3
Wewe umeona interchange hapo?
Kwakweli nimegundua hawa jamaa ni wahuni sn, yn hawana interchange wala underpass hata moja, nimeamini baada ya kuleta zile renders za hyo miradi hakuna sehemu wameandika interchanges, Wana miundombinu ya kizamani mno, cc tulikubali hatuna hzo vitu now tunajenga kwa kasi ili kuendana na majiji ya kisasa wao wanajifariji na miundombinu ya kizamani kweli washafeli
 
Hehehehehe, naomba mwenye report mpya za wagonjwa wa korona Tz azilete humu tushangilie
 
Reason behind ni kwamba tulichanga vzr karata zetu bila kukurupuka

WAZIRI UMMY ATAJA IDADI YA WAGONJWA WA CORONA WALOBAKI
Screenshot_2020-06-02-08-59-40.jpeg
 
Yani hii miaka miwili ndo tunaenda kuzika hii battle rasmi, mana km wameshindwa kuhimili kishindo cha bwana mdogo ubungo interchange je wataweza kuhimili vishindo vijavyo vyenye ujazo
Iyo milio inayo toka uko north utafikiri panya kabanwa na mlango hembu fikiria Ubungo interchnge imefany tuone miozo yao y flyover za tofali walio kuwa wanaita interchange...ngoja tuongeze volume utasikia mihemo y kutishaaa
 
Iyo milio inayo toka uko north utafikiri panya kabanwa na mlango hembu fikiria Ubungo interchnge imefany tuone miozo yao y flyover za tofali walio kuwa wanaita interchange...ngoja tuongeze volume utasikia mihemo y kutishaaa
Mkuu kuna vyuma vingine vinakuja vya adabu, yn wakenya wa leo waandike kuwa wapo ktk error mby mno.
 
Kwakweli nimegundua hawa jamaa ni wahuni sn, yn hawana interchange wala underpass hata moja, nimeamini baada ya kuleta zile renders za hyo miradi hakuna sehemu wameandika interchanges, Wana miundombinu ya kizamani mno, cc tulikubali hatuna hzo vitu now tunajenga kwa kasi ili kuendana na majiji ya kisasa wao wanajifariji na miundombinu ya kizamani kweli washafeli
Bosi wao sasa hivi anafanya kazi ya kukopi na kupesti na hii interchange ya ubungo anaweza kukopi na kupesti kama atabahatika kupata mkopo mwingine toka kwa wachina.
 
Kijana unajua maana ya underpass?

Kama hii ni underpass basi hata nyumba unayoishi ni undershelter

Sijaona barabara iliyopita CHINI YA ARDHI mpaka uite underpass wala hata juu ya hicho unachokiita underpass hakuna treni wala magari wala pedestrians wala ndege inayopita juu ya hiyo structure

Saa nyingine ni kujua tu simple English terminologies sio mpaka uwe mhandisi wa ujenzi.
Utajuaje meaning ya underpass wakati hamuna?
 
Back
Top Bottom