Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ss kenya tukawekeze nn, wananchi hawana pesa, nchi kame, tukawekeze nn ss.
Hiyo nchi kame iko na uchumi kubwa kuwaliko. Hiyo nchi kame ina middle class wengi kuwaliko. Hiyo nchi kame iko na matajiri wengi kuwaliko. Niendelee?
 
Nimemwaambia siku JNIA itapata 3m pax asikose kunitag
Mwaka huu watatoa report ilihudumua pax ngap. ..ilianza kuhudumu last yr at Aug. ..uwezo wa terminal3 ni 6million pax. ...terminal zilizobaki zinauwezo wa 2.5M maximum....

Ikitokea imejaa at full capacity ni pax 8.5M kitu ambacho kwa sasa bado kufikia
 
Kwhyo ukihesabu lanes kw barabara unatoa za brt
hutaki BRT iwepo just tel me😂😂👇👇
555D49F4-C8E7-4ED2-81BA-4B6491831269.jpeg
 
Mwaka huu watatoa report ilihudumua pax ngap. ..ilianza kuhudumu last yr at Aug. ..uwezo wa terminal3 ni 6million pax. ...terminal zilizobaki zinauwezo wa 2.5M maximum....

Ikitokea imejaa at full capacity ni pax 8.5M kitu ambacho kwa sasa bado kufikia
Hizo story mob sitaki kusikia. Nimesema siku JNIA itahandle 4m msisahau kunitag😂😂
 
Ushabiki ni mbaya jamani. kwa hivyo hapo Umehesabu ukipata tu 30!??? Hebu hesabu vile Teargas alivyofanya tuone hizo 30 zako
Wacha kujifanya mpuuzi, mwenzako keshakula dozi kakausha, rudi juu usome tena.
 
Mwaka huu watatoa report ilihudumua pax ngap. ..ilianza kuhudumu last yr at Aug. ..uwezo wa terminal3 ni 6million pax. ...terminal zilizobaki zinauwezo wa 2.5M maximum....

Ikitokea imejaa at full capacity ni pax 8.5M kitu ambacho kwa sasa bado kufikia
The question is how many it handles as at now, not projections. All airports have capacities
 
Back
Top Bottom