Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

12319364_02-2_page-0001.jpg
 
Ww ushawahi kuona mkenya akiponda nchi yake humu? Wanafanyiwa ushenzi mara ngp na Govt yao tena wa wazi kabisa, wana maisha magumu kupita maelezo, je ushawahi kuona wanaongelea japo mara moja? Hao wakenya unao wasifia ww humu ushawahi kuona wanakubali kwamba Kibera ni uozo? Au ushawahi kuona wanapinga humu jinc wanavyofanywa national park na wazungu pale kibera? Sisi humu mara nyingi tumekuwa tunakosoa pale inapobd au tukuletee post zetu za kukosoa baadhi ya mambo ya hovyo humu nchini, usiwe mjinga jali chako hata kama ni kibaya ndiyo chako japo kukosoa pale inapobd ni muhimu, lkn usilazimishe kila kilicho kenya na huku kiwepo, tuko na different culture mzee.
Wakenya ni wachache sana humu, active members hawafiki hata 20 ...... Kwahivyo hilo si jambo la kusingizia manake wakenya humu ni kidogo sana, ila watanzania wako kwa forum 'yao' kwahivyo inafaa kila mtanzania aruhusiwe kutoa opinion yake bila kuzuliwa manake ako kwake...
Kama unataka kuona wakenya wakilalamikia kila kitu enda twitter au enda forum za kikenya kama JamiiForums.com utapata kurasa nyingi sana watu wakiponda nchi yao.
 
Ila muwe mnapiga picha ktk eneo kubwa bila kuyatenga mengineView attachment 1461674
Mtanzania ukitaka kujua ameshindwa siku zote, ngoja tu akianza kupost picha za kibera, hapo unajua sasa kaamua kumwaga unga na maji ili sima isipikwe, hata hizo picha za eneo kubwa ukiuliza tutakupatia tu kiazi kizidi kufura kwa koo!

nairobi housing.jpg



nyayo eastate.jpg

hqdefault.jpg
AACBJYs.img
000_1JD2NX-2.jpg

header.jpg


cropped-nairobi.jpg
 

Attachments

  • fourways 2.jpg
    fourways 2.jpg
    106.5 KB · Views: 4
Back
Top Bottom