Mimi huwa naona huwa haweki wazi hesabu za mali zake na biashara zake lakini uhalisia yumo.bakhresa mda si mrefu nae atajoin the list ya us dollar $ billionaires
ohh nye nye nye uganda rafiki zetu 😂😂😂👇👇👇
na hii ndio nafas ya dar port to take a game 👏👏👏👏 na ndio nafas ya TRC pia through mwanza port to port bellDhambi ya ubaguzi inawatafuna!
yah hio point kubwa sana umeongea mwarabu hua haweki wazi mali zake zote neverMimi huwa naona huwa haweki wazi hesabu za mali zake na biashara zake lakini uhalisia yumo.
ndo maana yake as we speak kuna a surge of traffic along central corridor!na hii ndio nafas ya dar port to take a game 👏👏👏👏 na ndio nafas ya TRC pia through mwanza port to port bell
wow👏👏👏🤩🤩🤩 yani TRC wajitahidi sana this time, i will be very happyndo maana yake as we speak kuna a surge of traffic along central corridor!
Safi sana. Ngoja Dar Port ipige pesa.ndo maana yake as we speak kuna a surge of traffic along central corridor!
Mimi huwa natilia mashaka sana taarifa za utajiri wake. Bidhaa zake zinapendwa mno kuliko za Mo na ana investments nyingi,haiwezekani akazidiwa na Mo.yah hio point kubwa sana umeongea mwarabu hua haweki wazi mali zake zote never
Co Bakhressa tu, pia Oilcom, TRH, Abood, hawa unataka kuniambia hawajafika $1b? Binafsi huwa siamini, ila km data zinavyosema tuendelee kuziheshim mpk pale watakapotangazwa.Mimi huwa naona huwa haweki wazi hesabu za mali zake na biashara zake lakini uhalisia yumo.
Mm naamini Bakhressa yupo juu sn.Mimi huwa natilia mashaka sana taarifa za utajiri wake. Bidhaa zake zinapendwa mno kuliko za Mo na ana investments nyingi,haiwezekani akazidiwa na Mo.
C mchezo mkuuMaster plan ya railway network Dar.Kutakuwa na light rail kutoka Aga Khan hadi Tegeta na rail yote itakuwa elevated. View attachment 1462677View attachment 1462678View attachment 1462679


Abood mbabaishaji huyu amenyang'anywa viwanda Morogoro alivyogeuza godowns! Wacha utani mzee! to be billionaire si mchezo!Co Bakhressa tu, pia Oilcom, TRH, Abood, hawa unataka kuniambia hawajafika $1b? Binafsi huwa siamini, ila km data zinavyosema tuendelee kuziheshim mpk pale watakapotangazwa.
Hapo kwa Abood nilitaka niweke mabano mkuu, kiasi fulani km simuelewi elewi ila hao wawili hao wako vzr sn.Abood mbabaishaji huyu amenyanganya viwanda Morogoro alivyogeuza godowns! Wacha utani mzee!