Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,283
- 7,062
Ongeeni na ushahidi si kurusha tu midomoTz tunadeficit ya 3m units
Ongeeni na ushahidi si kurusha tu midomoTz tunadeficit ya 3m units
Wewe hauna lolote la maana ni ushabik tuusinambie ile simple math imekushinda 😂😂
Recent economic Survey by KNBS ilionyesha Nairobi contributes only 21% of GDP and not 60% as normaly quotedNairobi metropolitan region[edit]
![]()
Nairobi County (red) surrounding Nairobi Metro (green)
Nairobi is found within the Greater Nairobi Metropolitan region, which consists of 5 out of 47 counties in Kenya, which generates about 60% of the entire nation's GDP.[13][14] The counties are:
Source: NairobiMetro/ Kenya Census
Area County Area (km2) Population
census 2017Cities/towns/municipalities in the Counties Core Nairobi Nairobi County 696 4,397,073Nairobi Northern Metro Kiambu County 2,449.2 2,417,735Kiambu, Thika, Limuru, Ruiru, Karuri, Kikuyu, Ruaka, Kahawa and Githunguri North Eastern Metro Murang'a County 2,325.8 1,056,640Gatanga, Kandara, Kenol/Kabati, Murang'a Southern Metro Kajiado County 21,292.7 1,107,296Kajiado, Olkejuado, Bissil, Ngong, Kitengela, Kiserian, Ongata Rongai Eastern Metro Machakos County 5,952.9 1,421,932Kangundo-Tala, Machakos, Athi River Totals Nairobi Metro 32,715.5 10,411,220
Duh popln ya kibera 250k wacha uwongo ww, yn mabanda yote yale ya accommodate only 250k?Recent economic Survey by KNBS ilionyesha Nairobi contributes only 21% of GDP and not 60% as normaly quoted
![]()
Source
Hata ile population ya Kibera hua iko over estimated ili NGO's wapate msaada mkubwa, Population ya kibera is less than 250K
View attachment 1461162
Kuna watu karibia 250,000 washajisajilisha kuchukua nyumba, Takriban 300 kuanzia 2019 hadi sasa washaingia kwa nyumba za mfumo huu wa affordable housing !thanks for render😂😂😂😂
Huyo achana naye huyo, ni wale dizain za watu wasiopenda vyao, yn km utampa starlet zen ww ukawa na Prado atatamani Prado lako, lkn ukimpa Prado ww ukachukua starlet ataitamani tena hyo starlet, so sometimes watu km hawa ni kuwapuuza tu.bro kila mtu ana ndoto ya nyumba yake
Unataka kubishana na census ya serekali? Hata kuna NGO flani ilionyesha aerial images za kibera na ihahesabu nyumba kwa juu na ika estimate watu wanaoishi ndani ya nyumba, ikaonyesha kabisa scientifically, watu 2 million hawaezi ishi hapo hata kama kila mtu anaishi ndani ya nyumba ya 2 meter sqaure make barabara , shule n.k pekee ni karibia 20% ya kibera, tena si kibera yote ambayo ni ya wamaskiniDuh popln ya kibera 250k wacha uwongo ww, yn mabanda yote yale ya accommodate only 250k?
wacha kumpakia mtanzania mwenzako chuki, yeye anajadiliana bila ushabiki, usimuingize kwa hilo gora lenu la mazombie ya kiushabikiHuyo achana naye huyo, ni wale dizain za watu wasiopenda vyao, yn km utampa starlet zen ww ukawa na Prado atatamani Prado lako, lkn ukimpa Prado ww ukachukua starlet ataitamani tena hyo starlet, so sometimes watu km hawa ni kuwapuuza tu.
Nakubali lakini hiyo mindset ndo chanzo cha kuwa na uswazi kama hizi za Tandale, Manzese na Kigogo n.k..bro kila mtu ana ndoto ya nyumba yake
Hapo laumu serikali zilizopita hasa mipango miji, walikaa tu huku watu wakijenga hovyo, lkn hilo ni tatizo la nchi nyng Afrika co Tz Tu.Nakubali lakini hiyo mindset ndo chanzo cha kuwa na uswazi kama hizi za Tandale, Manzese na Kigogo n.k..
Kuna mahala tunakosea katika hizo dream houses tunazozitaka hebu leo angalia sehem zile ambazo miaka 15 nyuma zilikua vip na kama tungekua na mipango madhubuti kungekuwaje currently look at Goba, Mbezi ya Kimara, Kinyerezi, Chanika, Chamazi, Kigamboni n.k bado watu wanajenga kufurahisha nafsi zao ila sio kimipango miji zaidi yaan tunafeli hapo tuu
Uhuru wa kumiliki ardhi na uhuru wa kujenga nyumba tutakazo ndio uliosababisha kuwepo kwa sehem kama hizi za uswahilini akina Keko, Tandika, Vingunguti, Yombo n.k
Investors wanahitajika kusimamisha gated communities za kutosha ni heri tuwe na gated community ya bed sitter kuliko individual houses zisizo na mpangilio...
Battle hii mmeiharibu sana MATAGA....Huyo achana naye huyo, ni wale dizain za watu wasiopenda vyao, yn km utampa starlet zen ww ukawa na Prado atatamani Prado lako, lkn ukimpa Prado ww ukachukua starlet ataitamani tena hyo starlet, so sometimes watu km hawa ni kuwapuuza tu.
Wanaofurahia maisha ni hawa hapawacha kumpakia mtanzania mwenzako chuki, yeye anajadiliana bila ushabiki, usimuingize kwa hilo gora lenu la mazombie ya kiushabiki
Usiniambie hawa watu wanaoishi hapa waanafurahia maisha na wametosheka kabisa na hizi nyumba ambazo hazina mpangilio
![]()




Ungana nao kukimbia unasubiri nini humuBattle hii mmeiharibu sana MATAGA....
Wakenya wengi wamekimbia kwasababu yenu too praise kuliko uhalisia
Ww ushawahi kuona mkenya akiponda nchi yake humu? Wanafanyiwa ushenzi mara ngp na Govt yao tena wa wazi kabisa, wana maisha magumu kupita maelezo, je ushawahi kuona wanaongelea japo mara moja? Hao wakenya unao wasifia ww humu ushawahi kuona wanakubali kwamba Kibera ni uozo? Au ushawahi kuona wanapinga humu jinc wanavyofanywa national park na wazungu pale kibera? Sisi humu mara nyingi tumekuwa tunakosoa pale inapobd au tukuletee post zetu za kukosoa baadhi ya mambo ya hovyo humu nchini, usiwe mjinga jali chako hata kama ni kibaya ndiyo chako japo kukosoa pale inapobd ni muhimu, lkn usilazimishe kila kilicho kenya na huku kiwepo, tuko na different culture mzee.Battle hii mmeiharibu sana MATAGA....
Wakenya wengi wamekimbia kwasababu yenu too praise kuliko uhalisia
Kenya without makeup👽👽👽😂😂🤭
Ww na Wakenya wenzako lini mmeongea mabaya ya nchi yenu, au mko perfect sn kwmb hakuna la hovyo nchini kwenu c ndiyo?wacha kumpakia mtanzania mwenzako chuki, yeye anajadiliana bila ushabiki, usimuingize kwa hilo gora lenu la mazombie ya kiushabiki
Usiniambie hawa watu wanaoishi hapa waanafurahia maisha na wametosheka kabisa na hizi nyumba ambazo hazina mpangilio
![]()
Anzisha ya kwako ya kupondaBattle hii mmeiharibu sana MATAGA....
Wakenya wengi wamekimbia kwasababu yenu too praise kuliko uhalisia
Kila cku yeye ni kulalamika tu oohh kitu hk kipo kenya hakipo Tz mara oohh nyumba hz ziko hovyo, amekuwa mtumwa wa fikra, anajifanya haoni miradi kibao ipo Tz lkn kenya hawana na hakuna mkenya anayelalamika, ana fikra za kitumwa sn na leo nimeona nimpe habari zake.Anzisha ya kwako ya kuponda
Hiki ndicho kitu mapoyoyo hawaoni! Huyu jamaa kwa post zake unaweza kujua anatokea wapi na chama gani! Wanazungumziwa...Ww ushawahi kuona mkenya akiponda nchi yake humu? Wanafanyiwa ushenzi mara ngp na Govt yao tena wa wazi kabisa, wana maisha magumu kupita maelezo, je ushawahi kuona wanaongelea japo mara moja? Hao wakenya unao wasifia ww humu ushawahi kuona wanakubali kwamba Kibera ni uozo? Au ushawahi kuona wanapinga humu jinc wanavyofanywa national park na wazungu pale kibera? Sisi humu mara nyingi tumekuwa tunakosoa pale inapobd au tukuletee post zetu za kukosoa baadhi ya mambo ya hovyo humu nchini, usiwe mjinga jali chako hata kama ni kibaya ndiyo chako japo kukosoa pale inapobd ni muhimu, lkn usilazimishe kila kilicho kenya na huku kiwepo, tuko na different culture mzee.