ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mombasa huwez toka kwenye hii pic๐๐๐๐๐๐๐
mombasa huwez toka kwenye hii pic๐๐๐๐๐๐๐
ahahahah ukipewa ukweli hutaki ๐๐๐ do simple math bro kwann upate shidaWewe hauna lolote la maana ni ushabik tu
asante tena kwa render narudia tena ๐๐Kuna watu karibia 250,000 washajisajilisha kuchukua nyumba, Takriban 300 kuanzia 2019 hadi sasa washaingia kwa nyumba za mfumo huu wa affordable housing !
Prime minister wa Fiji alipotembelea mradi mmoja wa Affordable housing ambao uko under construction
![]()
![]()
![]()
![]()
Mbali na ule wa ngara housing project ambao nimeonyesha render pia kuna huu unaitwa Habitat Heights ambayo ni project nyengine babkubwa sana ya affordable housing - hapo kutakua na 8,888 units!!! Hii ni project ambayo inajengwa na usadizi wa UN-Habitat katika mradi wa kuondoa slums nairobi.
![]()
![]()
![]()
Kuna zile nyumba 228 za park road affordable housing units zilishakabidhiwa kwa serekali , hizo 228 ni kati ya nyumba1370 ambazo zitajengwa hapo park road
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



., soma hii taarifa kulingana na census ya last year


umezoea kutegemea opinion pieces za google bila utafiti mwafaka





ikiwa 60% wako kibera how about other slums ???? hahaha huku kununu ardhi ni kama kumkojolea mlevi na kujenga nyumba ni rahisi thats y majority own land and houses vipi kwenu ardhi imeshikwa na investors + politicians kwisha![]()







.,



hesabu ni hvi dar city is 1600km sq and nairobi city is 696km sq
dar population is about 6m
nai populatiin is about 5.5m
do simple mathsio lazma uende upate PHD
mindset gani uswazi zipo mixed house kuna nyumba za kila aina ww unaeza fababisha maisha ya kibera na vingubguti???๐๐Nakubali lakini hiyo mindset ndo chanzo cha kuwa na uswazi kama hizi za Tandale, Manzese na Kigogo n.k..
Kuna mahala tunakosea katika hizo dream houses tunazozitaka hebu leo angalia sehem zile ambazo miaka 15 nyuma zilikua vip na kama tungekua na mipango madhubuti kungekuwaje currently look at Goba, Mbezi ya Kimara, Kinyerezi, Chanika, Chamazi, Kigamboni n.k bado watu wanajenga kufurahisha nafsi zao ila sio kimipango miji zaidi yaan tunafeli hapo tuu
Uhuru wa kumiliki ardhi na uhuru wa kujenga nyumba tutakazo ndio uliosababisha kuwepo kwa sehem kama hizi za uswahilini akina Keko, Tandika, Vingunguti, Yombo n.k
Investors wanahitajika kusimamisha gated communities za kutosha ni heri tuwe na gated community ya bed sitter kuliko individual houses zisizo na mpangilio...
60%., soma hii taarifa kulingana na census ya last year
umezoea kutegemea opinion pieces za google bila utafiti mwafaka
Embakasi iki upande gani wa Nairobi wewe mjuaji?
NAIROBI 2019 CENSUS.
Embakasi Sub-county recorded the highest population in Nairobi with 988,808 people.
Nairobi is the most populous county with a population of 4,397,073 people.
The capital city's population has grown 40 per cent in the last 10 years from 3,138,369 in 2009, the 2019 census data reveals.
This now means Nairobi accounts for 9.2 per cent of the countryโs total population.
Kiambu is the second most populous county with 2.4 million people, Nakuru third with 2.16 million followed by Kakamega (1.87 million) and Bungoma (1.67 million).
SEE ALSO: Rongai Innovator creates an E-Voucher system to combat Covid-19
In 2009, there were 1,605,230 females in Nairobi compared to 1,533,139 males. In this yearโs census, the number has risen to 2,192,452 females and 2,204,376 males.
Embakasi Sub-county recorded the highest population in Nairobi with 988,808 people. It is followed closely by Kasarani at 780,656.
Njiru is third with 626,482, Dagoretti fourth with 434,208, Westlands (308,854), Kamukunji (268,276), Starehe (210,423), Mathare (206,564), Langata (197,489), Makadara (189,536) and Kibra being last with 185,777.
The city is growing at a rate of over four per cent annually, primarily because of the high birth rate and as people migrate from rural areas in search of employment.
KNBS projects Nairobi will have a population of five million in 2025.
Nairobiโs land mass is 703.9 square kilometres. This shows about 6,247 people occupy a square kilometre.
Kibra myth
There are about 1.5 million households in Nairobi, according to the 2019 census. This again shows there are 2.9 people per household.
An average household size in Kamukunji stands at 3.1, Njiru (3), Westlands (2.9), while Dagoretti, Embakasi, Kasarani and Starehe tie at 2.8.
The data has once again demystified the long held assertion that Kibra slum is one of the largest in Africa with one million inhabitants.
The slum has only 185,777 residents.
The 2009 census showed Kibra had a population of 170,070 people. This means the slum's population has gone up by 15,700 people in the last ten years.
Anakodisha kwa serikali, sio kumiliki, hamna huo uwezo, kisha mukikodi wengi hawana uwezo wa kujenga standard modern structures., mingi ni old fashion, pale Dar utadhani uko kule ndani mashambani.,takwimu zinakwenda na ukubwa wa eneo hio ndio takwimu huchukuliwa ndio maana huku mtu mmoja anaeza miliki hata ardhi 10 kwa mpigo sio ajabu![]()
hahaha ww unavichekesho sana wanakimbia reality wenzako washaona mbele kuna nn๐๐๐Battle hii mmeiharibu sana MATAGA....
Wakenya wengi wamekimbia kwasababu yenu too praise kuliko uhalisia
hahahaha unayo ushahidi ๐๐๐๐Over 70% of that populace makao ni vitongoji duni ya pale 1600km sq., ama ni ardhi tupu?.,
Nairobi broke its borders long ago., ndio maana ni vigumu kutofautisha sehemu nyingi za Nairobi na Kiambu county, Machakos na Kajiado., yaani inaitwa Nairobi metropolitan![]()
uhehehe umekasirika tayar ๐๐๐๐Anakodisha kwa serikali, sio kumiliki, hamna huo uwezo, kisha mukikodi wengi hawana uwezo wa kujenga standard modern structures., mingi ni old fashion, pale Dar utadhani uko kule ndani mashambani.,
ahahahhaha i see ushuzi๐๐๐๐๐๐Mombasa cbd is bigger than k/kor+posta+upanga, fact



, eti "...Dar ni kubwa kwa sababu watu wana uwezo wa kumiliki ardhi.." seriously hiyo ndio reason?., na over 70% walala hoi ndani ya hiyo ardhi


, ardhi ni ya serikali Tz, muombe sana mtu mmbaya asije tawala Tz na hizo sheria, hapo ndio mtajua hamjui



Hata kwa akili ya mtoto wa kindergarten tu unashindwa kureason kwa nini dar ni kubwa mara tatu ya Nairobi! Dar ni kubwa kwa sababu watu wana uwezo wa kununua ardhi na kujenga nyumba tofauti na Nairobi ambapo ardhi kubwa imeshikiliwa na watu wachache na hivyo mtu wa hali ya chini ni ngumu kununua ardhi na kujenga ndio maana wengi wanaishia kwenye slums siyo kwamba hao watu wanapenda kuishi kwenye mazingira hayo. Dar hata mtu wa kipato cha kawaida anaweza kudunduliza fedha na akanununua ardhi kwa sababu fursa na haki ya kununua kila mtu anayo coz ardhi ni mali ya serikali/nchi.
Sera na sheria za umilki wa ardhi katika nchi yenu ni mbaya sana na za kibepari kupita kiasi hilo lazima ukubali.
viwanja huku bro ni sawa na bure trust me ๐๐๐๐ yani hakuna kitu rahisi tanzania kama kununua ardhi yani gari ni ghali sana kuliko ardhiAnakodisha kwa serikali, sio kumiliki, hamna huo uwezo, kisha mukikodi wengi hawana uwezo wa kujenga standard modern structures., mingi ni old fashion, pale Dar utadhani uko kule ndani mashambani.,


Hivi ndo vitu tunakosa Dar...
projects kama hizi ndo zinabidi zizagae Dar yote yaan pembezoni sio kukimbilia individual houses of which bado hazileti taswira nzuri zikiwa pamoja
ukweli gani hakuna alichozungunza hapo ๐๐๐ ardhi hapewi investor kutoka nje akamiliki never ever thats y its very cheapUkweli kabisa, rudia tena kaka![]()
Kuna uzi humu aliuanzisha joto la jiwe, unahusu Tz kuwa mfano wa kuigwa, mwanzoni Wakenya hawakuwa wanachangia kwa wingi baada ya maambukizi kuanza kushamiri Tz walifumuka wakenya km wote, waliuandama ule uzi mpk kuna kipindi tuliona wanaenda kushinda ile thread, baada ya Tz kuonesha inaanza kushinda pamoja na zile habari za nchi kadhaa duniani kufata kile Tz ilikuwa ikifanya wakaanza kupungua na baada ya serikali yao kuanza kufata kile tulichofanya wakakimbia kabisa, so Wakenya ndivyo walivyo ukiwabananisha huwa wanakimbia, lkn anakuja mTz cjui km ni mTz kweli anasema Wakenya wanafukuzwa na MATAGA anajifanya blind eti haoni Wakenya wanakimbia nn humuhahaha ww unavichekesho sana wanakimbia reality wenzako washaona mbele kuna nn![]()

