Ushahidi utakusaidia nn?unataka uje ujenge weweOngeeni na ushahidi si kurusha tu midomo
Mda ukifika hakuna wa kuzuia mkuu, tupo kwenye dunia yetu kwa ss, jiwe ameamua kuipaisha nchi yeye mwenyewesema Tanzania imepanda chat sana kuzungumzwa mtandaoni, iwe kwa jambo baya ama zuri. sasaiz kitu chochote kikitokea Tanzania lazima watu mtandaon hasa wa mataifa mengine lazima walizungumze![]()

.Plus nirobary cbd =k/koo
Plus nirobary cbd =k/kooView attachment 1461340
Kariakoo is Taller , Most Buildings 10+Flrs
Mombasa cbd is bigger than k/kor+posta+upanga, factFact..
Ardhi wakenya wanayo, kwani mtu akifa anazikwa wapi? Ni wakikuyu wengi ndio wanazika watu wao public cemetery, kila mtu ata jaluo wa kibera akifa anapelekwa kwao na kuzikwa kwa ardhi yake., hili najua hamfahamu, Nairobi haina mwenyewe, pia wewe ukitaka kama uko na uwezo njoo uwekeze tu, watu wanakuja Nairobi kutafuta mihela na kufanya biashara, ndio maana wengine wanaishi makao duni kama slums to save and invest in the vilage, wengi kule kwao mashinani wako vizuri tu., shamba, nyumba ng'ombe.etc, njoo nikutembeze Kenya ujue ujanja ya huku., nyie ni kama wa mijikenda kule pwani ya Kenya.alaf ardhi mutamiliki nyinyi ikiwa such projects mpaka investor aekeze nyinyi mupange yani hamutakua na ndoto ya kumiki ardhi mpaka yesu ashuke![]()
Km projects zenyewe ndo hz basi mtasubiri maendeleo ya kweli mpk parapanda lipigwe, cz hapo mwananchi wa chini atanufaikaje na project km hyo? Hzo zimelenga wenye nazo, kwahyo hapo bado mnaongeza gepu baina ya wenye nacho na wasio nacho, Magu aliliona hilo na ndiyo maana projects za kizembe kama hizo alizistopisha, poleni sana![]()
Hayo tumefanya., with county governments hayo ndio projects., hizo zingine kama estates ni private developments sio serikali.,Fanya projects ambazo kwnz zita diversify maendeleo, jenga masoko mengi, jenga shule nyingi weka facilities kwenye hizo shule, jenga hospitals, jenga reli za kueleweka, jenga viwanda vya kutosha, jenga barabara sehemu ambazo ni remote, weka miundombinu ya maji vzr, the same as Magu does na ndiyo maana tunamuimba humu daily kwasabu anafanya mambo ambayo yatainua uchumi wa wananchi faster, co kujenga ma appartment cjui manini, yana return rate ndogo sn. Poleni Wakenya.



, wengi hawana real exposure, ni google tu


KWani haujawai kuskia kitu inaitwa morgage, nyinyi ni washamba kiasi gani jameni, Hivi unataka uniambie watu 5 million dar wote wanamiliki ardhi, punguzeni unafik watanzania





HAhahahaha wivu unamwagika hani hata hujui uanze na wapi kuzoa, hivyo vitu vyote umetaja, Kenya iko navyo kuwashinda sasa sijui unaenda wapi na hio story
wanayo ikwapi bro robo ya kenya anamiliki kenyatta pekee what abouth raila and other politicians ????? vitu vingine mukubaliane na ukweli tu , mm kenya huna cha kunidanganya nimezunguka almost kenya nzima utanidanganya nn wewe😂😂😂😂Ardhi wakenya wanayo, kwani mtu akifa anazikwa wapi? Ni wakikuyu wengi ndio wanazika watu wao public cemetery, kila mtu ata jaluo wa kibera akifa anapelekwa kwao na kuzikwa kwa ardhi yake., hili najua hamfahamu, Nairobi haina mwenyewe, pia wewe ukitaka kama uko na uwezo njoo uwekeze tu, watu wanakuja Nairobi kutafuta mihela na kufanya biashara, ndio maana wengine wanaishi makao duni kama slums to save and invest in the vilage, wengi kule kwao mashinani wako vizuri tu., shamba, nyumba ng'ombe.etc, njoo nikutembeze Kenya ujue ujanja ya huku., nyie ni kama wa mijikenda kule pwani ya Kenya.
Mombasa cbd is bigger than k/kor+posta+upanga, fact