babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Kwa mfano unakuta wanabomoa slums ili investors au serikali au mtu binafsi ajenge apartments katika hilo eneo....Unategemea wale waliokuwa wanaishi kwenye slums wataenda wapi baada ya mabanda yao kubomolewa!wawekezaji wanatoka nje wanakuja kujenga appartments nyinyi mupange ndio maana hamuwez kua na akili ya kujenga kwasababu mukiwa na akili ya kujenga watapata wapi wateja thats y munaishia kwenye slums amabzo hata nguruwe hawez kuishi
Jibu ni simple tu, wataenda kwenye slums zingine maana hawatoweza kuaffrord apartments
Na hii ndio chanzo mojawapo ya Nairobi kuwa na slums nyingi na pia ukuaji mkubwa wa slums.

