NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Hii karibu kabisa na mihogo point Coco Beach.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanajenga express road Nairobi ya $600Mwakenya naomba mtutumieni bas miradi yenu U/C ili nasi tupate faraja kidogo kwamba wenzetu pia nchi yenu inapiga hatua kimaendeleo, sio sisitu humu ndo tunaonyesha miradi U/C
Nilishakwambia tayari slums sio makaazi ya watuUnaongelea mjini ipi? Apo apo nairobi kuna uharo usioelezeka, kwa huku Dar huwezi kuta uswazi mjini

sasa we unapinga nn..Tunapowaonesha miradi yetu iliyokamilika wanakuambia wao walikuwa nayo miaka 10 iliyopita, ukiwaambia wekeni humu wanajibu Google is ur friendwakenya naomba mtutumieni bas miradi yenu U/C ili nasi tupate faraja kidogo kwamba wenzetu pia nchi yenu inapiga hatua kimaendeleo, sio sisitu humu ndo tunaonyesha miradi U/C



Utasubiri sn mkuu, wahuni hawa jamaaWanajenga express road Nairobi ya $600M
Nataka kuona huo mradi utafananaje
Sent using Jamii Forums mobile app






Vp mnaendeleaje wakenya
ukipata construction board let me know plz😂😂😂😂😂😂Mie sikasiriki hataa, I come here to enjoy myself., yani munafurahisha sana na your blind patriotism ya nchi yenyu "ndogo"., kama unaelewa maana ya "ndogo".,, if you know you know,
,
Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
hapa wapi bro??bora kuweka tausi aisee kuliko mi-concrete ambayo hata haijafinyangwa kiutaalam. Mi sijui kama tunajua the concept behind recreational park!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
go hero 8 itapendeza zaidi👏👏😊😊 najua ndio mambo yako budaaPamekua pazuri sana hapa, Kuna LED screens kubwa hapo pamoja na billboards kadhaa usiku pananoga sana na BRT zinavyopishana hapo kuelekea Morocco zingine Ubungo na Kimara Zingine Posta Gerezani. Ukitegesha Go Pro Hapo kwa timelapse na light trails utadhani sio Bongo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
anaongelea kama ni project ya salender bridge nafkiri ndio swali lakeHii karibu kabisa na mihogo point Coco Beach.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nchi za Magharibi nilikuwa namuonyesha The best 007 jinsi recreation parks zinavyokaa!hapa wapi bro??
Wamalize wagonge park ya maana wakitumia 10 bil Tsh najua kitatoka kitu cha maana hapo..tukipata na ka open air auditorium , na classic restaurants hivi , walk ways na vi vyumba vyumba pembeni magoli, ka basket ball na volley ball court, sehemu za massage , na outdoor movie theatreHii karibu kabisa na mihogo point Coco Beach.
Sent from my iPhone using JamiiForums







Tz ndogo?? Are you clazy?? Btw ndo inayokulisha hyo![]()
anagalia hii video kwa makini uniambie umejifunza nn😅😅👇👇👇Muonekano wa sehemu za Mombasa., hakuna jipya, haya next...baby
Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app