Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Kwahio ww kipofuHamna k2 hapo.....
Kwahio ww kipofuHamna k2 hapo.....
NSSF,PSPF Mzizima Tower
![]()
![]()
![]()
![]()
Source: @mat23
The building will look like this, 35floorTallest in Tanzania ama
Unadhani kila mtu ni muongo kama serikali ya jubilee!Uwongo mtupu
Wivu kwny renders hahahahaWivu
Nilifikiri unaniita niwe shahidi wa vile mmetupiku kumbe ni Mambo na lockdown kutolewa ili tuzidi kuongeza gap 😁
Hii ndio itakuwa ndefu zaidi in Tanzagiza... congratulations on your new RENDER 😂😂😂
Ukimuambia the tallest in Kenya wacha Kwanza apayuke alafu umpatie the Shocking News.I thought was tallest than others...(kenya tallest)
Magu ana akili sana, kaona ROI kwenye majengo ni polepole sana kuliko investment km masoko, barabara, reli na kadhalika, inshort majengo yanategemea sana development kwny sekta km hzo za barabara, umeme, masoko n.k, tukishaweka sawa huku ndo yafate majengo mbn safi tu.magu kasuspend hela kuwekezwa kweny hayo majengo, laiti angesema wamalize majengo yaliyoanzwa kujengwa ila wasijenge majengo mapya
Nani kasema tuko level moja, Tz ipo sayari yake ya pekeake huwezi fananisha na failed and corrupt country like Kenya.Nashaghaaa mnajifanya mku level moja na kenya
Duh hii overtake sio poa aisee yaani kenya + uganda lakini hawafiki nusu ya millionaire wa tz???!!!
Hatuwezi kuwa level moja na nchi inayonuka madeni,Nashaghaaa mnajifanya mku level moja na kenya
Yaani hawanusi kunusaDuh hii overtake sio poa aisee yaani kenya + uganda lakini hawafiki nusu ya millionaire wa tz???!!!

Hatuwezi kuwa level moja na nchi inayonuka madeni,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi inayokumbwa na kipindupindu mara kwa mara,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi ambayo wananchi wake wanapika mawe kutokana na kukosa chakula,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi inayopewa misaada ya chakula karne hii,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi yenye ukabila,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi iliyojaa ufisadi na rushwa,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi yenye slums kila kona hadi karibu na ikulu,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi ambayo tatizo la maji limekuwa sugu kwenye mji wake mkuu,
Level yenu ni failed state huko.



Maendeleo ynyw ndo haya, karne ya 21 kweli jamaniAkili yako ime fika hapo......wakati all news mnapata kutoka kenya media.
we jua ivi kwa maendeleo . Mtasubiri sana





Kweli Tz baba lao, yn kenya mmepambana miaka zaidi ya 50, mmechukua mali za Tz na kufanya ni zenu mkauza kwa jina la nchi yenu, lkn Tz alipoingia Magu miaka 4 tu tushawagaragaza kila idaraAkili yako ime fika hapo......wakati all news mnapata kutoka kenya media.
we jua ivi kwa maendeleo . Mtasubiri sana



I think watalimalizia lakin...cause hapo ..kwenye hio pic unaona elevator inapanda na kushuka...wanafanya most likely interior works sijajua litachukua muda gani... Lakini liko slow..magu kasuspend hela kuwekezwa kweny hayo majengo, laiti angesema wamalize majengo yaliyoanzwa kujengwa ila wasijenge majengo mapya
Usijali, It is not.I thought was tallest than others...(kenya tallest)
Proposed Overpass at upper hill Nairobi