Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Nangoja overtaking, mumeimba sana! kutoka enzi ya mababu zenyu, baba, watoto, sasa ni nyie wajukuu na vitukuu vierehere, mumeona lami, flyovers, ka brt na vigorofa kadhaa hivi mnadhani ndio basi sasa


haya subiri tuone., independent bodies work independently in Kenya, decisions ni zao without gov't interference., nyie subiri mtafika tu. 



nafurahi mlivyo very "informed".



Sent using Jamii Forums mobile app



haya subiri tuone., independent bodies work independently in Kenya, decisions ni zao without gov't interference., nyie subiri mtafika tu. 



nafurahi mlivyo very "informed".



Kenya inaenda kudondoka kiuchumi. Tanzania inaenda kuovertake kenya very soon, kwa mwendo huu sidhani kama Kenya itapona.
Imefika sehemu hata hela ndogo ya kitu fulani inawalazimu kukopa, hii inamaana wanachokusanya chote wanalipa madeni na nyingine inaingia mifukoni mwa watu.
Usitarajie mradi wwte mkubwa ambao utakaofanywa na Kenya kwenye kipindi hich maana hakuna mkopo watakaogewa, hii mikopo ya ajabu wanayopewa sasa ni ile ya huruma ya majanga.
China iliona hilo mapema ikabidi wajitoe kufadhili Reli yao ya kaskazini (North corridor), na kama China wamejitoa kwenye hilo basi hakuna Nchi inayoweza fadhili hyo white elephant maana TZ tu tulikosa mpaka tukaanza na pesa zetu ndo wakaja, je Kenya mnaweza anza na pesa zenu?? Ikiwa hata hela ya kupambana na locust mnakopa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app



