Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Two rivers apartments progressing well,it will be like a small modern city when all the projects get complicated.

Cascadia apartment
1589972289125.png
EKSWpKHWsAEUe-P.jpeg
1589972340272.png


Riverbank apartment
D_0X1GwWwAAVthY.jpeg
1589972679055 (1).png
EInKNYEWoAAIkjj.jpeg
 
Aisee, kizazi cha sasa kitafaidi kuona kwa macho land reclamation ikoje (bandari na daraja), sisi tulikuwa tanasimuliwa tuu na waalimu wetu ambao hata wao walikuwa hawajawahi kuona.
Yaani tukishanunua ndege yetu ya mizigo, ndiyo tutaona kuwa uchumi wa Kenya ni chui wa karatasi.
Heheheheheeee ni matumaini yangu kuwa hii itatumika kama reference kwny books za vijana wetu huko mashuleni, icwe tu holland
 
tanzanite imedhibitiwa bro nina jamaa yangu kule anakwambia tanzanite haitoki hata ukucha ndio maana unaona hata kwenye uuzaji wa tanzanite kenya umeshuka vibaya sana hawana hamu na magufuli
Heheheheheeee ukitaka kukorofishana na Magu we gusa madini yn apo anaweza kukutia hata risasi, ana kamera zake pale white house kila saa anaangalia kuta zake alizozijenga kule migodini, kila saa anaangalia akimaliza anaangalia airport, baada ya hapo anaanza kuchungulia mpakani zen ndo analala, akistuka mda wwte anacheki kamera zake tu, utamuibiaje mtu huyo.
 
Back
Top Bottom