Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baba kasema dunia nzima inacomment

Yule mwingine alieongea nafikiri ni wakenya na watz tu ndio walijua kaongea.
IMG_20200518_164319.jpg
 
mim naona kenya wanatafuta angle/technique ya kuzuia hata magar ya Tanzania ya mizigo kupita. na mambo ya utalii
Kwani watalii ni mapoyoyo kutojua kwamba unaweza kuingia direc?BTW coronavirus inaingia over 80% of tourists were flying directly to Tanzania. Unajua kinachowauma Kunyaland ni kukurupuka kwao kwenda lockdown na kusimamisha safari za KQ. sasa walipoonaTanzania ime-react vingine kuruhusu ET (ku-operate even PAX flight) na Rwandair kuchukua cargo imewauma. In their mind we should also suffer since they suffer! KQ flies horticulture and floriculture produce to Europe but at a lower frequency now as the cargo is low!

Unaniangusha bwana Simon
 
Kwani watalii ni mapoyoyo kutojua kwamba unaweza kuingia direc?BTW coronavirus inaingia over 80% of tourists were flying directly to Tanzania. Unajua kinachowauma Kunyaland ni kukurupuka kwao kwenda lockdown na kusimamisha safari za KQ. sasa walipoonaTanzania ime-react vingine kuruhusu ET (ku-operate even PAX flight) na Rwandair kuchukua cargo imewauma. In their mind we should also suffer since they suffer! KQ flies horticulture and floriculture produce to Europe but at a lower frequency now as the cargo is low!

You are very good at analyzing issues..bravo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
huu mchezo watacheka na mbingu

Nadhani ss watajua ya kwamba hii ndiyo Tz mpya, natamani itoke order ya kuwafukuza Wakenya wote warudi kwao, cc wenyewe hatutoshi humu ndani zen wanakuja kuongeza wingi tu humu, WaTz wanaweza kazi zote hatuhitaji wageni labda wawe experties ambao huku kwetu co wengi km yapi merkezi waje kufanya technology transfer zen warudi kwao ova.
 
Back
Top Bottom