Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Western bypass still taking shape,8 lanes 😍
gLHorZt.jpg
 
wanasema moja ya masharti ya IMF kutoa mkopo wa corona ni nchi kuwa in lockdown au curfews.. i’m trying to know the truth of this. naangalia nchi zilizopata mkopo kama either wanajifungia (lockdown /curfew) au wako huru
Kawaida ukinyimwa pesa unaanzaga kutafta tuvisababu....mwaga povu kabisa uwanja ni wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani rais wa kenya anajibiwa na wakuu wa mikoa ya tanzania!!!!!

Hii dharau sasa...yaani kenyatta level yake ni mama mghwira,mkuu wa mkoa wa kilimanjaro!!!
Haha Tanzania nzima sasa ni mihemko kwasababu uhuru kafunga mpaka....sasa ati mnadhani kenya itarudi nyuma kwa hatua tulizochukua ole wenu...watanzania ni watu wa ajabu sana, mbna somalia hawalii na tuliwafungia mpaka kama nyinyi? Mbna uganda walitufungia mpaka na hatukeshi kwenye social media tukilia? Vipi kuhusu Zambia kuwafungia mpaka? Lakini energy yote mumeangazia kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha Tanzania nzima sasa ni mihemko kwasababu uhuru kafunga mpaka....sasa ati mnadhani kenya itarudi nyuma kwa hatua tulizochukua ole wenu...watanzania ni watu wa ajabu sana, mbna somalia hawalii na tuliwafungia mpaka kama nyinyi? Mbna uganda walitufungia mpaka na hatukeshi kwenye social media tukilia? Vipi kuhusu Zambia kuwafungia mpaka? Lakini energy yote mumeangazia kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mmetufungia, tumefungiana, nyie mna serikali dhaifu sana, yn serikali yenu imeshindwa kujua kwamba vigezo mlivyopewa vya mkopo ni vya kishenzi, yn mchukue mkopo lkn msizalishe, eti mjifungie ndani km hao waliowapa duuhh even a std seven dropout student can't agree with, mnakubali kuchukua mkopo lkn uwasaidie kwa chakula na co kuzalisha daaahhh mcje tena kuchagua wahuni waongoze nchi, ubongo wao umejaa mavi kichwani....smh
 
Haha Tanzania nzima sasa ni mihemko kwasababu uhuru kafunga mpaka....sasa ati mnadhani kenya itarudi nyuma kwa hatua tulizochukua ole wenu...watanzania ni watu wa ajabu sana, mbna somalia hawalii na tuliwafungia mpaka kama nyinyi? Mbna uganda walitufungia mpaka na hatukeshi kwenye social media tukilia? Vipi kuhusu Zambia kuwafungia mpaka? Lakini energy yote mumeangazia kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
sio uhuru masharti yamikopo yamewafika makalioni hamuwezi kutunisha misuli dhidi ya tanzania kwenye mipaka nyinyi sisi tumezungukwa na nchi 7 mpaka 8,

asilimia 90% ya mizigo mipakani ni inayotoka tanzania kuja kenya sasa nani anakwama hapo😂😂😂😂😂


alaf zambia washafungua mpaka zamani sana 😂😂😂
 
Haha Tanzania nzima sasa ni mihemko kwasababu uhuru kafunga mpaka....sasa ati mnadhani kenya itarudi nyuma kwa hatua tulizochukua ole wenu...watanzania ni watu wa ajabu sana, mbna somalia hawalii na tuliwafungia mpaka kama nyinyi? Mbna uganda walitufungia mpaka na hatukeshi kwenye social media tukilia? Vipi kuhusu Zambia kuwafungia mpaka? Lakini energy yote mumeangazia kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
huna habari wewe😂😂👇👇👇

 
Haha Tanzania nzima sasa ni mihemko kwasababu uhuru kafunga mpaka....sasa ati mnadhani kenya itarudi nyuma kwa hatua tulizochukua ole wenu...watanzania ni watu wa ajabu sana, mbna somalia hawalii na tuliwafungia mpaka kama nyinyi? Mbna uganda walitufungia mpaka na hatukeshi kwenye social media tukilia? Vipi kuhusu Zambia kuwafungia mpaka? Lakini energy yote mumeangazia kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
yani tanzania iagize energy kenya 😂😂😂 unazungumzia energy gani???
 
huyu jamaa nimemkubaki sana yani amejitoa kiume sana 👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

 
Haha Tanzania nzima sasa ni mihemko kwasababu uhuru kafunga mpaka....sasa ati mnadhani kenya itarudi nyuma kwa hatua tulizochukua ole wenu...watanzania ni watu wa ajabu sana, mbna somalia hawalii na tuliwafungia mpaka kama nyinyi? Mbna uganda walitufungia mpaka na hatukeshi kwenye social media tukilia? Vipi kuhusu Zambia kuwafungia mpaka? Lakini energy yote mumeangazia kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
mutajua hamujui 😂😂😂😂👇👇👇 njaa itawaua na sio corona

 
Sio mmetufungia, tumefungiana, nyie mna serikali dhaifu sana, yn serikali yenu imeshindwa kujua kwamba vigezo mlivyopewa vya mkopo ni vya kishenzi, yn mchukue mkopo lkn msizalishe, eti mjifungie ndani km hao waliowapa duuhh even a std seven dropout student can't agree with, mnakubali kuchukua mkopo lkn uwasaidie kwa chakula na co kuzalisha daaahhh mcje tena kuchagua wahuni waongoze nchi, ubongo wao umejaa mavi kichwani....smh

IMG_1589868307.199887.jpg
 
Back
Top Bottom