Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ili kuenhance huduma za afya hasa kwa magonjwa ya mlipuko, napenda kuwe na hospitali za kikanda ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko na ziwe na vifaa/mashine vya kila aina, pia kweny hizo hospitali kuwe na vituo vya utafiti vya NIMR

1. ile ya mtwara iongezwe vitanda at least ziwe 1000 beds (currently zipo 600hiv) na kituo cha utafiti cha National Institute for Medical Research, NIMR, iwepo huko kwa ajili ya kanda ya kusini)

2. ijengwe hospital kubwa ya 1000 beds na kituo cha NIMR kwa ajili ya kanda ya nyanda za juu kusini hasa mkoan mbeya

3. kwa kanda ya kaskazin kwa mikoa ya North-East, ile hospitali ya Mara, Mwl. Nyerere Memorial hospitali iongezwe nayo vitanda mpka 1000 beds na pia kuwepo na kituo cha utafiti, NIMR.

4. kanda magharibi iwepo Kigoma au ile Bugando nadhan inatosha

5. kanda ya kati, hospitali zilizopo na zinazojengwa dodoma zinajitosheleza

hizo hospitali si kwa ajili ya magonjwa ya mlipuko ila pia kwa huduma nyingine. yan ziwe hospitali za nguvu kama za muhimbili/BWM-Dom
 
ili kuenhance huduma za afya hasa kwa magonjwa ya mlipuko, napenda kuwe na hospitali za kikanda ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko na ziwe na vifaa/mashine vya kila aina, pia kweny hizo hospitali kuwe na vituo vya utafiti vya NIMR

1. ile ya mtwara iongezwe vitanda at least ziwe 1000 beds (currently zipo 600hiv) na kituo cha utafiti cha National Institute for Medical Research, NIMR, iwepo huko kwa ajili ya kanda ya kusini)

2. ijengwe hospital kubwa ya 1000 beds na kituo cha NIMR kwa ajili ya kanda ya nyanda za juu kusini hasa mkoan mbeya

3. kwa kanda ya kaskazin kwa mikoa ya North-East, ile hospitali ya Mara, Mwl. Nyerere Memorial hospitali iongezwe nayo vitanda mpka 1000 beds na pia kuwepo na kituo cha utafiti, NIMR.

4. kanda magharibi iwepo Kigoma au ile Bugando nadhan inatosha

5. kanda ya kati, hospitali zilizopo na zinazojengwa dodoma zinajitosheleza

hizo hospitali si kwa ajili ya magonjwa ya mlipuko ila pia kwa huduma nyingine. yan ziwe hospitali za nguvu kama za muhimbili/BWM-Dom
NIMR ina matawi mengi tu haiitaji kuongezwa mengine labda hospitali zilizopo kuongezwa vitengo (equipped) vya magonjwa ya milipuko ila si kwa mavitanda hayo its not economic visible! Streamlining operation and capacity building ni muhimu zaidi! Pitia NIMR utaona wana branch zisizopungua 6 around the country! In my opinion only capacity building in the existing centres n rapid response in case of an outbreak is all what is needed! Even Ifakara institute ina branch za kutosha!

NIMR Centres

  • Amani Research Centre
  • Mwanza Research Centre
  • Muhimbili Research Centre
  • Tabora Research Centre
  • Tanga Research Centre
  • Mbeya Research Centre
  • Tukuyu Research Centre
  • Ngongongare Research Centre

Directorates & Centres – NIMR Tanzania
 
sijasema hazipo.. ila kweny hizo hospitali kubwa (1000 beds) centres ndo zikae/zihamishiwe hapo hapo.. hio idadi 1000 beds itasaidia kuhudumia nchi jiran mana hizo kanda zipo karibu na mipakan
Kumbuka magonjwa ya milipuko si kila siku! Yaani 1000 beds hospital kwa ajili ya magonjwa ya milipuko tu? Haijakaa sawa kwenye efficient usage of resources baba! Mara nyingi hata nchi zilizoendelea zinakuwa na artificial centers kwa ajili ya hili nyingine in forms of containers! labda kama zitakuwa hospitali za kawaida kipindi milipuko haipo! BTW NIMR centers zina-operate na ziko kwenye research na hospitali zetu! Kwa JPM kujenga hospitali za vitanda 1000 kwa magonjwa ya maambukizi kila zones ni sawa na ku-furmigate coronavirus kwa chlorine!!
 
Ila sitaraji uwakubali watanzania wenzako kwa kuishi in denial nani hawajui....nchi ya maziwa na asali ila wananchi wenyu wanateseka kwenye nchi zingine wakiomba omba

Sent using Jamii Forums mobile app
muwarudishe basi ili tujue ni watanzania sio munakaa kutangaza ni watanzania ili kuficha makucha yenu kwa wazungu sisi tunawajua vyema nyinyi
 
nimecheka sana 😂😂😂😂👇👇👇

CB1105C0-4750-4C8F-9F2B-AA9A708F16C8.jpeg
 
tufanye kazi 👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿


Hii miradi ya maji imesaidia sana, hii mambo ya kunawa maji tiririka ingekuwa ngumu, ikiendelea hivi tutakuwa vizuri sana kwenye maji hapo baada.
Maji kutoka ziwa victoria kwenda tabora 600b ni hela nyingi.
Mradi wa maji Arusha na maeneo jirani, 500b.
Bado sehemu nyingi miradi iko kibao.

Sijawahi ona mkenya akipost mradi wa maji humu, wanapost barabara na magorofa na 80% ni Nairobi.
 
Hii miradi ya maji imesaidia sana, hii mambo ya kunawa maji tiririka ingekuwa ngumu, ikiendelea hivi tutakuwa vizuri sana kwenye maji hapo baada.
Maji kutoka ziwa victoria kwenda tabora 600b ni hela nyingi.
Mradi wa maji Arusha na maeneo jirani, 500b.
Bado sehemu nyingi miradi iko kibao.

Sijawahi ona mkenya akipost mradi wa maji humu, wanapost barabara na magorofa na 80% ni Nairobi.

Waziri mbarawa yupo vizuri sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii miradi ya maji imesaidia sana, hii mambo ya kunawa maji tiririka ingekuwa ngumu, ikiendelea hivi tutakuwa vizuri sana kwenye maji hapo baada.
Maji kutoka ziwa victoria kwenda tabora 600b ni hela nyingi.
Mradi wa maji Arusha na maeneo jirani, 500b.
Bado sehemu nyingi miradi iko kibao.

Sijawahi ona mkenya akipost mradi wa maji humu, wanapost barabara na magorofa na 80% ni Nairobi.
Hatuna huo utoto wa kupost miradi ya maji...nini special hapo sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom