Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nadhani ss watajua ya kwamba hii ndiyo Tz mpya, natamani itoke order ya kuwafukuza Wakenya wote warudi kwao, cc wenyewe hatutoshi humu ndani zen wanakuja kuongeza wingi tu humu, WaTz wanaweza kazi zote hatuhitaji wageni labda wawe experties ambao huku kwetu co wengi km yapi merkezi waje kufanya technology transfer zen warudi kwao ova.
Wasipewe kazi yoyote, unakumbuka uwanja wa ndege wa songwe Mbeya ilipewa kampuni ya kenya, ile runway inaumuka kama waliweka hamira imebidi serikali itangaze tenda nyingine ufumuliwe upya.
 
hebu tueleze kila mtu na kitengo chake tujifahamu kabisa
Mbn nilieleza mkuu:

Geza - kitengo cha SGR na mambo yote yanayohusu miundombinu

Joto la Jiwe - anapambana na propagandist wote wakikunya

Ichoboy - mambo yote yanayohusu CBD hapo atoki mtu

Simon - takwimu za kiserikali uchomoki hapo

Baba yao - sindano ndogo ndogo jamaa hakuachi

Lwiva - shombo zote anadili nazo yeye

Ndinda - picha zote kali za Dar anazo yeye

The best 007 - midfield kisheti a.k.a kiraka

Bantugbro - anakaba kote kote

Tuusan - diplomasia

Ngokongosha - updates

Mgagaa na upwa - wakumaliza

Walker255 - English yn wakenya wote wanaojifanya wanajua ngeli hapo wamedunda

Narton jr - slums
 
Wasipewe kazi yoyote, unakumbuka uwanja wa ndege wa songwe Mbeya ilipewa kampuni ya kenya, ile runway inaumuka kama waliweka hamira imebidi serikali itangaze tenda nyingine ufumuliwe upya.
Mkuu tulishakoma, tangu watumie technolojia ya nuhu kwenye ule mtumbwi waliotujengea tukaachana nao kabisa
tapatalk_1586382469453.jpeg
 
Mbn nilieleza mkuu:

Geza - kitengo cha SGR na mambo yote yanayohusu miundombinu

Joto la Jiwe - anapambana na propagandist wote wakikunya

Ichoboy - mambo yote yanayohusu CBD hapo atoki mtu

Simon - takwimu za kiserikali uchomoki hapo

Baba yao - sindano ndogo ndogo jamaa hakuachi

Lwiva - shombo zote anadili nazo yeye

Ndinda - picha zote kali za Dar anazo yeye

The best 007 - midfield kisheti a.k.a kiraka

Bantugbro - anakaba kote kote

Tuusan - diplomasia

Ngokongosha - updates

Mgagaa na upwa - wakumaliza

Walker255 - English yn wakenya wote wanaojifanya wanajua ngeli hapo wamedunda

Narton jr - slums
 
Yaani rais wa kenya anajibiwa na wakuu wa mikoa ya tanzania!!!!!

Hii dharau sasa...yaani kenyatta level yake ni mama mghwira,mkuu wa mkoa wa kilimanjaro!!!
Ss atajibiwa vp na Magu wkt Magu keshamuona zero brain mlevi, na km ulifatilia ile hotuba ya Magu pale madhabahuni kuna mda km alitaka kutoa kejeli pale alipoongelea madereva akaishia kucheka tu.
 
Back
Top Bottom