ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
angalieni comments muone backlash kwa Kenyatta saahii!
πππππππ
angalieni comments muone backlash kwa Kenyatta saahii!
hata wiki haijapita! Mi nawashauri wale waliovunjiwa wakavamie mashamba ya Kenyatta na Raila maana yapo idle miaka nenda na miaka rudi!πππππππ
View attachment 1453112
Tanzania ina viwanda vipi sasa???basi warudisheni hao wakenya makwao mwachukue hawa omba omba wenyu wamejazana kila corner ya kenya muwapee hizo makazi wamekua kero huku...sidhani hao wakenya wanazihitaji izo makazi sana kama hawa omba omba wenyuHao jamaa wakivuka boda tu kuingia Tanzania wanajiona wako nyumbani,lkn si hawa ambao wamejazana kwenye mashule yetu na viwandani,ni nuksi,nasikia kuna kibinyo cha kimya kimya cha work permit kwenye sekta ya elimu kinakuja,naombea work permit fee kwa walimu toka nje iwe $4000
kama ni omba omba wa tanzania mbona hamuwarudishi sasa munatuletea siasa za kikabila hapo watu wenu wenyewe alaf munaichafua tanzania kwani hatuwajui nyinyi, la labda nikupe taarifa wakenya wanaofanya kazi tanzania ni wachache sana ukieinganisha na awamu zilizopita, magufuli aliwafagia woteTanzania ina viwanda vipi sasa???basi warudisheni hao wakenya makwao mwachukue hawa omba omba wenyu wamejazana kila corner ya kenya muwapee hizo makazi wamekua kero huku...sidhani hao wakenya wanazihitaji izo makazi sana kama hawa omba omba wenyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Only cargo planes na evacuation planes zinakubaliwaUkiangalia flightrader afrika kusini na Nairobi bado ndege zinatua halafu wameweka watu wao lockdown . Hawa jamaa shida yao wamonopoly biasharaView attachment 1452864
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzio hiyo Simu kibera yote inamsujudia kuwa yeye ni babu kubwa hapo ana washangaa nyinyi kumcheka kwa Kenya kumiliki Simu kama hiyo wewe ni pedejeeKanunue Sm kwanza
Tunashukuru kwa kuendelea kuwa part ya viewership ya citizen na ntv, huku kenya hamna anayefahamu media zenyuhasira za msikizi furaha ya mvuvi
Iliisha kitambo sasa ni watoto wa chekechea wametake over na magufuli praise teamhii thread haijawahi isha
Ila sitaraji uwakubali watanzania wenzako kwa kuishi in denial nani hawajui....nchi ya maziwa na asali ila wananchi wenyu wanateseka kwenye nchi zingine wakiomba ombakama ni omba omba wa tanzania mbona hamuwarudishi sasa munatuletea siasa za kikabila hapo watu wenu wenyewe alaf munaichafua tanzania kwani hatuwajui nyinyi, la labda nikupe taarifa wakenya wanaofanya kazi tanzania ni wachache sana ukieinganisha na awamu zilizopita, magufuli aliwafagia wote
Sasa wanaume wazima mumekaa mkijadili simu ya mwenzio kwenye jukwaa la great thinkers...watoto ndo mmejaa hapaMwenzio hiyo Simu kibera yote inamsujudia kuwa yeye ni babu kubwa hapo ana washangaa nyinyi kumcheka kwa Kenya kumiliki Simu kama hiyo wewe ni pedejee
Send by APOLO 1
Unawapatia sn, huwa najiuliza wanaposema omba omba wa Tz huko kwao Kenya huwa wanamaanisha nn, yn wakenya walivyo na roho mby wawaache WaTz wachafue majiji yao, mbn madereva wamewarudisha wkt wanawasaidia kuwapelekea chakula ndo itakuwa Bergers, hao ni ombaomba wa kenya wasilete ufala wao hakuna mtz anayeweza kukimbia Tz aende kenya kuomba wkt anajua wakenya wana roho mby pia wanashida mingi.kama ni omba omba wa tanzania mbona hamuwarudishi sasa munatuletea siasa za kikabila hapo watu wenu wenyewe alaf munaichafua tanzania kwani hatuwajui nyinyi, la labda nikupe taarifa wakenya wanaofanya kazi tanzania ni wachache sana ukieinganisha na awamu zilizopita, magufuli aliwafagia wote
Ubongo wako umejaa funza,hata kibera akili yako inakuambia ikoa TanzaniaTanzania ina viwanda vipi sasa???basi warudisheni hao wakenya makwao mwachukue hawa omba omba wenyu wamejazana kila corner ya kenya muwapee hizo makazi wamekua kero huku...sidhani hao wakenya wanazihitaji izo makazi sana kama hawa omba omba wenyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubongo wako umejaa funza,hata kibera akili yako inakuambia iko TanzaniaTanzania ina viwanda vipi sasa???basi warudisheni hao wakenya makwao mwachukue hawa omba omba wenyu wamejazana kila corner ya kenya muwapee hizo makazi wamekua kero huku...sidhani hao wakenya wanazihitaji izo makazi sana kama hawa omba omba wenyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibera ni yetu ila hawa omba omba wenyu muwachukue wanatukeraUbongo wako umejaa funza,hata kibera akili yako inakuambia ikoa Tanzania
Hebu please acha kuongea. Kiswahili chako kinatia kichefuchefu. WTF is βwenyu?β
Ushakula?
Hebu please muwachukue hawa omba omba donor countryHebu please acha kuongea. Kiswahili chako kinatia kichefuchefu. WTF is βwenyu?β