Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kupata boko km hili tubonyeze wapi
tapatalk_1589382175866.jpeg
tapatalk_1589382189090.jpeg
 
Yaani serikali wangenunua shehena ya nafaka iliyopo kwenye malori yalizuiliwa kuingia kenya halafu wanapeleka ghala la taifa. Halafu wanazuia malori kwenda hadi siku zao 21 zipite tusije wapelekea covid 19 . Baada ya japo nidhamu itakua poa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo zishanunuliwa na Wakenya ndo maana wanalalamikia serikali yao!
 
Kama wanataka kuboresha round about ya Msamvu ni bora wafikirie interchange pale. Uzuri wa pale eneo ni kubwa la kutosha na hata kama kutakuwepo na kulipa fidia haitakuwa kubwa sana.
Kabla ya huko msamvu wangeanza na mbezi mwisho,maana foleni ya magomeni na ubungo inahamia mbezi,hali itakua mbaya sana pale maana eneo lenyewe ni dogo,wafanye kitu pale aisee
 
Back
Top Bottom