Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Nimeogopa tu kutaja majina lakini njooni hapa posta ingia mgahawa flani ivi utaskia Aisha, Amina, Fauzia, Abdallah......mwajuma
Mpaka nikawa najiuliza hivi hawaoni ata haya!
Sijaenda tena kula pale!
Inabidi tume ya ajira iangalie hili jambo

Maana naskia Hawa ndugu zetu huficha majambazi kwenye nyumba za ibada
Sasa unajiuliza wanataka kupambana na nani
 
Mimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.

Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza

Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Wewe ulifukuzwa sababu ulidanganya jina
 
Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
acha majungu, mbona tumesoma shule za kikristo na tulifuata masharti yote ikiwemo kuhudhuria kanisani hata kujiunga na vikundi vya kwaya kanisani ili tu lengo litimie,nawe kuwa muislamu au fuga mzuzu ili upate ajira.
 
vipi na ndege alizoagiza utasusia kupanda? utajiumiza braza
Yapo mashirika kibao ya waislam ila hayana ubaguzi wa kiimani. Mimi binafsi ni mpinga ubaguzi wa aina yoyote ile. Yeye si wa kwanza kuleta ndege na hivyo si lazima kupanda zake bro. Ukiona shirika linalalamikiwa mpaka na nchi ujue kunashida hapo.
 
Kama iki kiwanda cha tazara kina ad msikiti ndani pia bado wafanyakazi wanabaguana wenyewe kwa wenyewe ndani mslam wa kitanzania ana treat wa tofauti na wenye asili ya ki asia

Na wewe ulitembelea hapo msikitini ukayaoina yote hayo?
 
Kwa sisi waislamu, kuna thwawabu kumpa kipaumbele kimaendeleo Muislamu mwezio, kuliko asiye na imani ya uislamu
 
Sio yeye tu nimegundua migahawa mingi hapa mjini kama boss ni muislam basi wafanyakazi wooooote wanakuwa waislam
Watoto wa bi mkubwa naona vyuma vimekaza. Wanatamani mpaka kazi za migahawani za wapata sifuri za watoto wa bi mdogo Hahaaaaa 😛😛😛 mpaka mjomba Magu Akitoka madarakani mtafuga mizuzu si mchezo.
 
Watoto wa bi mkubwa naona vyuma vimekaza. Wanatamani mpaka kazi za migahawani za wapata sifuri za watoto wa bi mdogo Hahaaaaa 😛😛😛 mpaka mjomba Magu Akitoka madarakani mtafuga mizuzu si mchezo.
Kuna mgahawa nimeingia leo asubuhi eti hawauzi soseji kisa wateja wao wa kiislam wanalalamika.....PSHHHHH
Na sisi je? Siendi tena kununua kitu pale.
Tatizo ukiishi na muislam atataka ubadilishe lifestyle yako iendane na mahitaji yake. BULL!
 
Kwa sisi waislamu, kuna thwawabu kumpa kipaumbele kimaendeleo Muislamu mwezio, kuliko asiye na imani ya uislamu
Ndio huo ubaguzi wa kidini tunaouzungumzia.
Na wakristo wakiamua hivyo je?
 
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku

Mada imezungumzia udini; wewe unazungumzia ukabila.

Ingekuwa vizuri zaidi kama ungejikita kwenye mada.
 
Ukweli mchungu; Nchi maskini(zinazoendelea) zote zina udini,ukabila na kila aina ya ubaguzi, hata mtoa mada ungekuwa na nafasi tungeona rangi yako, usinyooshe kidole kwa mwingine, vinne vinaelekea kwako.
 
Kwa sisi waislamu, kuna thwawabu kumpa kipaumbele kimaendeleo Muislamu mwezio, kuliko asiye na imani ya uislamu
Waislamu ndo zenu hizo...mnaoubaguzi sana....yaani nchi hii 90% wangekuwa waislamu...tayari Sharia ingefanya kazi....hiyo ya kazi ipo sana tu...na inajulikana....
 
Hii tabia ya ulalamishi Wakristo mmeanza lini? Focus kwenye mambo makubwa. Achana na mambo madogo madogo. Kampuni yake ana uhuru wa kuajiri mtu yeyote ambaye yeye anamwona ana vigezo. Ili mtadia havunji sheria.

Hii tabia ya ulalamishi na nyie wakristo mmeanza lini? Mimi naamini kila mtu ana haki ya kuajiri watu anaotaka kwa vigezo vyake.... Vijana mjikite kwenye mambo ya msingi ya kujenga nchi. Hiyo ni Kampuni binafsi ana uhuru kuajiri watu anaowataka kwa kufuata vigezo vyake. Binafsi nachukia sana tabia ya ulalamishi.

alexelias
Badala ya kujikita kwenye hoja unamshambulia mtoa hoja? Yaani wewe ubaguzi unaona ni sawa tu kwa sababu ni kampuni binafsi! Ebu tazama jambo kwa fikra pana kwa mustakabali na umoja wa kitaifa ndipo utapata kuona msingi wa hoja ya mleta uzi
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom