Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,075
Nimeogopa tu kutaja majina lakini njooni hapa posta ingia mgahawa flani ivi utaskia Aisha, Amina, Fauzia, Abdallah......mwajumaHuu udini wa ndugu zetu unaharibu Taifa letu
Mpaka nikawa najiuliza hivi hawaoni ata haya!
Sijaenda tena kula pale!
