Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Mfumo kristo uliwaacha nyuma sana waislamu, sasa Bakhresa ni muumini mzuri wa hiyo dini wacha awasaidie ndugu zake na dini yake inamuelekeza kufanya hivyo.

Huyu Firdaus inamuhusu na vile vibira.
Mtasubiri sana kwa kuoena kazi za vibarua. Inahitaji akili...
 
Need I say more?
IMG-20180320-WA0029.jpg
 
mbona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Umesema Azam media pale wameshindwa kuwajaza akina Bakari kutokana na wachache kuwa wajuzi wa mambo ya utangazaji au uandishi wa habari,tasnia hiyo inahitaji usomi na kujua lugha lakini kwenye udereva au kutengeneza biskuti au kukata tiketi na kuwa konda wa meli hakuhitaji sifa kama za kwenye uandishi wa habari.Kwa kifupi kuna udini sana kwenye makampuni ya mzee huyu,utadhani utajiri wake kaupata kutoka kwa Waislamu pekee-juisi tunywe wote ajira wapewe kundi fulani ,hii wapi na wapi
 
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
I love uuuu!!!
 
Mimi nilishaacha kutumia bidhaa za Azam ata juice kaweka nembo ya msikiti na maneno yasiyojulikana.Acha kulalamika natususie bidhaa zake awauzie waislam.
Hahaaaaaa n sawa na ssmiz kujiondao kwenye kund haina madhara yoyote yake ,,,ukienda kwa mam ntilie ama kwa mkeo usile hatachapat mana unga ni wa baresa na viungo kibao vinatoka kwake
 
Mimi nilishaacha bidhaa zao zamani na nembo yao ya halal.
 
Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa

Kuna jamaa moja wa kijijini kwetu nilikutana naye hapa mjini siku ya ijumaa akiwa na haraka , nilipotaka kumsalimia akasema anawahi msikitini maeneo ya tabata relini. Nikamuuliza umekuwa muislamu toka lini?, akaniambia mimi ni mkristo bado ila nimeamua kuwa muislamu kwa muda kwani lilikuwa sharti la kupata kazi. Kazi yenyewe ni udereva wa magari ya mafuta, nilisononeka sana ila sikuwa na la kusema nikamwambia wahi ndg yangu ukaswali.
 
Jamani muacheni naye awabebe wa upande huo! Wameachwa nyuma sana kwenye ajira.

Nani kawaacha nyuma? hebu tupe takwimu ili tukuamini. Ni vzr ukasema watz wakristo wako wangapi, waislamu wako wangapi na dini nyingine zilizobaki ni ngapi na wasio na dini ni wangapi kisha utuchambulie kwamba wakristo wangapi wameajiriwa (% ya watz wote), waislamu wangapi (% ya watz wote), wahindi, waarabu, na wasio na dini ni wangapi na walioajiriwa ni asilimia ngapi. Si kuongea hovyo bila data
 
Sawa sheria inakuwa haijavunjwa lakini tatizo ni moja tu, moja tu ukumbuke tatizo ni moja tu wateja wa bidhaa zake sio waislamu peke yao.


Kwani kuwa mteja wa kitu kunahusiana nini na imani ya aliyekizalisha? Tunakula.na lutumia vingapi toka China unajua wana amini nini wale? Kwenda nje tunapanda Emirates unajua ni asilimia ngapi ya waajiriwa wake ni wa imani ya wamiliki? Mambo mengone ni ya kupuuza tu.
 
Sio yeye tu nimegundua migahawa mingi hapa mjini kama boss ni muislam basi wafanyakazi wooooote wanakuwa waislam
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom