Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Kama iki kiwanda cha tazara kina ad msikiti ndani pia bado wafanyakazi wanabaguana wenyewe kwa wenyewe ndani mslam wa kitanzania ana treat wa tofauti na wenye asili ya ki asia
Huwa inawauma sana mkiona msikiti uko eneo la kazini. Usipokuwapo kisha waislam wakawa wanaenda mbali kusali hamchelewi kusema wanapoteza masaa kwenye kusali.
 
Mimi nilishaacha kutumia bidhaa za Azam ata juice kaweka nembo ya msikiti na maneno yasiyojulikana.Acha kulalamika natususie bidhaa zake awauzie waislam.
Sasa huu si ndo udini unaoufany ww
Ulitk zichorwe msalaba wa nabii tito
 
makafiri bhana vyuma vimewakaza mnaanza kuwalaumu waislamu,huwa mnasema waislamu wanafuga majini,
sasa mnataka mwende huko mkatupiwe majini ha ha ha.

waislamu wenyewe hawakusoma leo mnataka wawaajiri.

nikushauru wewe fungua kanisa kuna mikafiri mijinga huko utapiga hela

huyu hapa kafiri mwenzako kajiajiri anakula zake sadaka za waumini huku akiwabatiza kwa RUNGU
images
 
Jamani muacheni naye awabebe wa upande huo! Wameachwa nyuma sana kwenye ajira.
Huwezi kujibu hoja nzito kama hii kwa majibu mepesi kama haya
Azam ni mtoa huduma ambazo zinanunuliwa na watu wa dini zote na wasio na Dini
 
Teh teh teh. Inachekesha kweli kuona waafrika wanaitana makafiri kisa dini ya waarabu/wazungu. Wakati hao walioleta hizo dini wanawabagua waafrika hata kama wana dini sawa nao.
 
Teh teh teh. Inachekesha kweli kuona waafrika wanaitana makafiri kisa dini ya waarabu/wazungu. Wakati hao walioleta hizo dini wanawabagua waafrika hata kama wana dini sawa nao.
kaka ebu niambiee huu kama sio ukafiri ni nini?

images
images
 
kuna dogo mmoja alikuwa anapenda sana kufanya kazi kwenye kampuni ya bakhresa ya pale buguruni akafanya michakato wee akampata mtu wa kumuunganisha akapata kazi kwa kuhonga tsh 70000/=akafanya siku ya kwanza akawa kosa alolifanya ni kujitambulisha kwa jina la kikristo basi nasikia alikuwa anabaguliwa hata kazi yenyewe haikuchukua wiki
Asee mbna wasio Waislam wananyanyasika sana nchin Tanzania
 
sio kweli kwamba kuna udini,Tunaomba takwimu za wajiriwa wote wa azam,

Muongozaji wa kipindi cha RACING SHOW anaitwa michael maluwe,mchambuzi wa soka wa azam anaitwa walter harison,wasomaji wa taarifa ya habari kuna charlesi hHilary,na Evona Kamuntu, je hao dini gani mkuu?
kuwa muazi sema tu uliomba kazi ukakosa basi...
Tumesema Waislam Ni 99% na makafiri 1%
 
Mhindi naye akijenga Mall wapangaji wote Wahindi wenziye tena wa dini yake. Mimi naona ni mambo ya kibinafsi tu na ni hiyari ya mtu kutumia mali yake atakavyo. Hakuna sheria imevunjwa hapo!
Sawa sheria inakuwa haijavunjwa lakini tatizo ni moja tu, moja tu ukumbuke tatizo ni moja tu wateja wa bidhaa zake sio waislamu peke yao.
 
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Tunaongelea udini hapa...acha akili za kukopa
 
Tafuta muuza ice cream za azam kwa zile baiskeli, ukimpata asiye wa kule, nakupa 1m.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom