Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,075
UDINI UDINI!Wewe si ufate wanakouza hayo madude mradi wanafanya biashara halali usiwapangie mtaji ujawatafutia wewe pambana na hali yako.
Walikuwa wanaziuza mwanzoni waislam wakalalamika eti. Hao waislam kwani walishindwa nini kuja kununua vitu vingine wakaachana na hizo sosej tule sisi?
Waweke bango basi kwamba hapa ni wateja waislam tu tujue moja