denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Utakuwa toto flani linalopenda ubishi usiokuwa na maana.Kwa akili yako mbovu ulitegea Chadema kupata hata diwani mmoja?
Utakuwa toto flani linalopenda ubishi usiokuwa na maana.Kwa akili yako mbovu ulitegea Chadema kupata hata diwani mmoja?
Kwanini na wewe unawasemea Wazanzibar?Kwanini unawasemea Wazanzibar? Wao wameridhika na maisha yanaendelea na wanajua rais wao wa muungano ni Magufuli na rais wao wa Zanzibar kwenye selikali ya mseto ni Mwinyi.
Ninyi endeleeni na viroho vyenu vya korosho hapo ufipa!
Kila mtu ana malengo yake huenda Tundu Lissu malengo yake sio uteuziAkiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana...
Huyo ni mzee mtu mzima lakini hana akili kutwa yupo hapa kushabikia ujinga huku maisha kwake ni magumu, alipata kazi ya ulinzi Nov 2020 pale Useri sokoni kafukuzwa sababu ya tabia zake hakumaliza hata miezi 2.Mbona sijaelewa
Maana Mwinyi hujamaliza umeruka kwa Lissu mara huko nako bado umedandia kwa Maalim mara hujasawazisha napo umefika kwa Magufuli..
Hakuna utawala wa hovyo kama huu..sasa kwanini Jpm aliitisha uchaguzi?
..si angeenda moja kwa moja kwenye uteuzi?
..serikali imeumiza watu, imepoteza pesa, kwa kuendesha uchaguzi wa hovyo.
Hahahaaaa...... Kwa sasa Mwamba wa Kilimanjaro ni Halima James Mdee akisaidiwa na mama Kaboyoka!Huyo ni mzee mtu mzima lakini hana akili kutwa yupo hapa kushabikia ujinga huku maisha kwake ni magumu, alipata kazi ya ulinzi Nov 2020 pale Useri sokoni kafukuzwa sababu ya tabia zake hakumaliza hata miezi 2.
Angepewa hata umwanasheria mkuu wa serikaliAkiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana...
Kuna kichaa zaidi ya Lumumba house?Nasubilia bar ya vichaa waje kupinga hili
Lengo siyo teuzi. Ni lazima ujiulize anaye kuteua ana nia IPI kama siyo kuzima moto wote was kutafuta haki.Ninahakika hata wewe pamoja ni ccm huna haki yoyote ya kuweka kiongozi unayemtaka.Ni kwasababu umejawa na ushabiki ndiyo maana unakubali kila kituAkiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana..
Kama aljiamini ange acha sanduku la kura liamue. Sio kulaghai Dunia na kutumia vibaya rasili mali za nchi.. Tundu hakugombea ili ahongwe cheo. Chadema iligombea kuiondo aCcm madarakaniAkiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana.
Nakumbuka Tundu Lissu aliahidiwa kutafutiwa teuzi inayolingana na uwezo wake lakini yeye akakaidi na alipofeli uchaguzi akakimbilia tena Ubelgiji badala ya kutoa ushirikiano kwa serikali.
Hongera sana Maalim Seif na ACT wazalendo kwa kusoma vema alama za nyakati.
Maendeleo hayana vyama.
Utaiondoa CCM madarakani kwa katiba ipi bwashee?Kama aljiamini ange acha sanduku la kura liamue. Sio kulaghai Dunia na kutumia vibaya rasili mali za nchi.. Tundu hakugombea ili ahongwe cheo. Chadema iligombea kuiondo aCcm madarakani
Ndiyo hivyo tena. Umri wa Mzee umekwenda hivyo ndiyo keshamaliza safari yake kisiasa. Usitarajie kumuona tena majukwaani.Maalim self kawasaliti wazanzibar !!
Tafsiri yake unaifahamu kabla ya kutoa hongra? Usijejilaumu kwa maneno yako.Haya subiri nakuja.Akiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana.
Nakumbuka Tundu Lissu aliahidiwa kutafutiwa teuzi inayolingana na uwezo wake lakini yeye akakaidi na alipofeli uchaguzi akakimbilia tena Ubelgiji badala ya kutoa ushirikiano kwa serikali.
Hongera sana Maalim Seif na ACT wazalendo kwa kusoma vema alama za nyakati.
Maendeleo hayana vyama.
Ahsante umenisaidia kuwapasha.........Kwa Nini Kila wakati,lisu,lisu,mbowe ,mbowe,andikeni tu,Mambo yenye mantiki watu wasome sio Kila saa mnawataja watu Fulani,kwani wamewafanya Nini?
Wao pia ni watanzania,kugombea kitu Fulani ni haki Yao kwa kujibu wa sheria,.
Ifike mahala muwapumzishe kuwaandika Kila wakati,mtu anaandika mada vizuri,linatokea lichangiaji lingine linaropoka,angekua Fulani angeweza?
Ndenge Nini papaa?
Akiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana.
Nakumbuka Tundu Lissu aliahidiwa kutafutiwa teuzi inayolingana na uwezo wake lakini yeye akakaidi na alipofeli uchaguzi akakimbilia tena Ubelgiji badala ya kutoa ushirikiano kwa serikali.
Hongera sana Maalim Seif na ACT wazalendo kwa kusoma vema alama za nyakati.
Maendeleo hayana vyama.