johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa (hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi, Tundu Lissu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Sina shaka baada ya uchaguzi, Tundu Lissu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!