Ile ilikuwa jukwani! Hata Seif akiwa jukwani alisema kwa ukali kabisa kwamba safari hii hakubali.JPM alihaidi teuzi kwa LISSU jukwaani na LISSU alikataa hiyo teuzi jukwaani
Kwani maalimu Seif aliukataa mkono wa Dr Shein mafichoni?!JPM alihaidi teuzi kwa LISSU jukwaani na LISSU alikataa hiyo teuzi jukwaani
Bara kuna ugomvi?Ameweza vipi kuwapatanisha wazanzibar akashindwa kupatana na wenzake Bara?
Aliambiwa na Mbowe kule Mwanza ameshindwa mpaka leo.
Huu uongo mwingine wanadhani wanadanganya watoto wauache.
Mbowe alitaka wapatane kuhusu nini?Ameweza vipi kuwapatanisha wazanzibar akashindwa kupatana na wenzake Bara?
Aliambiwa na Mbowe kule Mwanza ameshindwa mpaka leo.
Huu uongo mwingine wanadhani wanadanganya watoto wauache.
Basi kwa Lissu umeendelea kuwa mgumu mpaka uchaguzi ujao.Kwani maalimu Seif aliukataa mkono wa Dr Shein mafichoni?!
Leo kiko wapi?
Narudia tena Hakuna mkate mgumu mbele ya chai!
Ameweza vipi kuwapatanisha wazanzibar akashindwa kupatana na wenzake Bara?
Aliambiwa na Mbowe kule Mwanza ameshindwa mpaka leo.
Huu uongo mwingine wanadhani wanadanganya watoto wauache.
Siku si nyingi utashangaa sana.Basi kwa Lissu umeendelea kuwa mgumu mpaka uchaguzi ujao.
Wanafiki ni ninyi. Waliosababisha haya mnayoyaita utengano ni nani kama siyo wanafiki kama wewe waliojaa ndani ya chama cha mapinduzi?? Mnaweka madaraka mbele mnasahau Utaifa. Mmewaua Watu kisa madaraka leo mnajitokeza eti Wazanzibari tu Wamoja?? Damu zao zilizomwagwa zitawatafuna na vizazi vyenu.Tanzania kama taifa linasonga.
Wanafki vibaraka wa ndani na nje ya nchi kilasiku wanazidi kuishiwa pumzi.
Tumetunza commment hiiSiku si nyingi utashangaa sana.
Tundu Lisu ni mwepesi mbele ya CCM kama alivyo Halima James Mdee!
Unaweza kuta mtu kama wewe una digrii tena Gpa ya 4..sasa kwanini Jpm aliitisha uchaguzi?
..si angeenda moja kwa moja kwenye uteuzi?
..serikali imeumiza watu, imepoteza pesa, kwa kuendesha uchaguzi wa hovyo.
Unaweza kuta mtu kama wewe una digrii tena Gpa ya 4
Kwa akili yako mbovu ulitegea Chadema kupata hata diwani mmoja?..hebu fikiria jinsi Jpm alivyowaburuza wasanii nchi nzima kufanya kampeni, huku matokeo anayo mfukoni.
.
Kwanza waliotoa matamko yale ukiangalia nyuso zao utaona hawana furaha hata tone. Yale ni maigizo tu ya kuihadaa Dunia.Ameweza vipi kuwapatanisha wazanzibar akashindwa kupatana na wenzake Bara?
Aliambiwa na Mbowe kule Mwanza ameshindwa mpaka leo.
Huu uongo mwingine wanadhani wanadanganya watoto wauache.
Hahahaaaa.........!Kwa akili yako mbovu ulitegea Chadema kupata hata diwani mmoja?
Yaliyopita sindwele tugange yajayo.Wanafiki ni ninyi. Waliosababisha haya mnayoyaita utengano ni nani kama siyo wanafiki kama wewe waliojaa ndani ya chama cha mapinduzi?? Mnaweka madaraka mbele mnasahau Utaifa. Mmewaua Watu kisa madaraka leo mnajitokeza eti Wazanzibari tu Wamoja?? Damu zao zilizomwagwa zitawatafuna na vizazi vyenu.
Hujitambui wewe hiyo shule Baba yako alipoteza hela bure bora angefuga nguruwe ingemlipa.Ndio kukubali kwenda kukaa kwa Asmtwrdam?
Hahahah mnateseka saana, hivi bado jamuoni aibu?Angekuwa anafeli kusingekuwa na sababu ya huyo anayejiita mwendawazimu kubebwa kwa uporaji kwa kusaidiwa na polisiccm na tume fake ya uchaguzi. Muziki wa Lissu mnaujua na mmeushuhudia LIVE, Lissu habari nyingine!
Mbowe alitaka wapatane kuhusu nini?
Ule haukuwa uchaguzi, bora mseme mlishinda wizi.Bara kuna ugomvi?
Ugomvi katika ya nani na nani? Kushindwa kwenu kukubali matokeo hapo ufipa ndio unataka mpatane?