johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,115
Hahahaaaa...... Sijajua Tundu Lisu anafeli wapi?!Maneno ya MNAFIKI kabla hajaamua kuganga njaa.
Hahahaaaa...... Sijajua Tundu Lisu anafeli wapi?!
Sawa Bwashee!Mbege ikiisha kichwani utaelewa tu bwashee!
Tundu Lissu siyo wa majalalani wewe mbwigaAkiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar Dr Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana...
Kama kuku anayetaka kutaga vile.Mbona sijaelewa
Maana Mwinyi hujamaliza umeruka kwa Lissu mara huko nako bado umedandia kwa Maalim mara hujasawazisha napo umefika kwa Magufuli
Hoja yako ni nini?
Hahahaaaa...... Kale kallb amekapatia wapi vile?Tundu Lissu siyo wa majalalani wewe mbwiga
Maneno ya MNAFIKI kabla hajaamua kuganga njaa...
ππππTUNDU LISSU alisema anataka teuzii?Akiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar Dr Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana...
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai bwashee!ππππTUNDU LISSU alisema anataka teuzii?
JPM alihaidi teuzi kwa LISSU jukwaani na LISSU alikataa hiyo teuzi jukwaaniHakuna mkate mgumu mbele ya chai bwashee!
Kwanini unawasemea Wazanzibar? Wao wameridhika na maisha yanaendelea na wanajua rais wao wa muungano ni Magufuli na rais wao wa Zanzibar kwenye selikali ya mseto ni Mwinyi.Najua wazanzibar wengi hawataki kulisikia hilo Zimwi,Mwinyi asijiharibie!
2025 wazanzibar wasikubali askari kutoka bara waende kusimamia amani huko!Maana mara zote wamekuwa wakiuwawa!Naamini Mwinyi hatakubali damu imwagike ndani ya utawala wake!
Ndio kukubali kwenda kukaa kwa Asmtwrdam?Tundu Lissu siyo wa majalalani wewe mbwiga
Tundu Lissu hapikiki chungu kimoja na mnafiki.!Akiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar Dr Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana...!