johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,516
Akiwa mkoani Geita Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Wazanzibar sasa ni wamoja na wanajenga nchi yao kwa pamoja na amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwezesha Zanzibar kuwa wamoja na watu wanaopendana.
Nakumbuka Tundu Lissu aliahidiwa kutafutiwa teuzi inayolingana na uwezo wake lakini yeye akakaidi na alipofeli uchaguzi akakimbilia tena Ubelgiji badala ya kutoa ushirikiano kwa serikali.
Hongera sana Maalim Seif na ACT wazalendo kwa kusoma vema alama za nyakati.
Maendeleo hayana vyama.
Nakumbuka Tundu Lissu aliahidiwa kutafutiwa teuzi inayolingana na uwezo wake lakini yeye akakaidi na alipofeli uchaguzi akakimbilia tena Ubelgiji badala ya kutoa ushirikiano kwa serikali.
Hongera sana Maalim Seif na ACT wazalendo kwa kusoma vema alama za nyakati.
Maendeleo hayana vyama.